howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 248
- 413
Ndoa yoyote inapitia hatua tano muhimu.
Hatua ya pili ni wakati hatari sana kwa wanandoa bila ya msaada wa Mungu na ndio nitaiadress kwa leo:
Wanandoa:-
-Wanapoa: Taratibu na kawaida za kila siku na kushuka kwa msisimko vinaingia katika maisha ya wanandoa.Hali ya kujali inapotea kwa kiasi.
-Wanabishana: Hawajitoi tena wala hawaachilii haki zao tena.
-Wanajitetea: Hawataki kulaumiwa na wenzi wao kwa makosa yao,wanajitetea na kuanza kuwalaumu wenzao.
-Wanalaumiana: Sasa hakuna kinachokua sawa hata kidogo.
-Wanavunjika moyo: Ndoto za wanandoa hao hazitimii, wengine wanakosea kwa kujaribu kutafuta upendo kwa mtu mwingine.
Hatua ya pili ni wakati hatari sana kwa wanandoa bila ya msaada wa Mungu na ndio nitaiadress kwa leo:
Wanandoa:-
-Wanapoa: Taratibu na kawaida za kila siku na kushuka kwa msisimko vinaingia katika maisha ya wanandoa.Hali ya kujali inapotea kwa kiasi.
-Wanabishana: Hawajitoi tena wala hawaachilii haki zao tena.
-Wanajitetea: Hawataki kulaumiwa na wenzi wao kwa makosa yao,wanajitetea na kuanza kuwalaumu wenzao.
-Wanalaumiana: Sasa hakuna kinachokua sawa hata kidogo.
-Wanavunjika moyo: Ndoto za wanandoa hao hazitimii, wengine wanakosea kwa kujaribu kutafuta upendo kwa mtu mwingine.