Mkulima Wa leo
Member
- Nov 9, 2019
- 11
- 11
Kwa anaejua kitu inaitwa GN inayozuia malipo ya mkandarasi
Ndugu nisaidieni nimefanya kazi ya zabuni ya ujenzi nimeambiwa malipo mpaka waziri Wa fedha asaini GN. kwa anaejua hii kitu anieleweshe. Ofisi ninayodai wanasema hawajui Siku ya kusainiwa hiyo GN ni nini?
Ndugu nisaidieni nimefanya kazi ya zabuni ya ujenzi nimeambiwa malipo mpaka waziri Wa fedha asaini GN. kwa anaejua hii kitu anieleweshe. Ofisi ninayodai wanasema hawajui Siku ya kusainiwa hiyo GN ni nini?