Wakaka wa JF...

Sitasita kamwe kama Kuwa PM,kuwapongeza, kuwasifia ila naweza pongeza mtu kumbe mwanaume maana humu usipokuwa makini unaweza MP mwanaume mwenzio ukimwambia mdada umependeza.

hilo nalo neno,ila km ni mwanaume akaweka avatar ya kike huyo atakuwa na matatizo!!:redfaces::redfaces:
 
Kaka umeenda mbali....... ILA NAAMINI PRETA ATAFURAHI KWA HABARI HIYO NJEMA

Preta avatar yake huwaga inanisisimua. Kila nikiona jina lake moyo unaruka na kuanza kudunda. Huyo nimewania sana kumtongoza!
 
Preta avatar yake huwaga inanisisimua. Kila nikiona jina lake moyo unaruka na kuanza kudunda. Huyo nimewania sana kumtongoza!

.... hapa kny forum ukimuonyesha mtu kuwa uko impressed naye ni vyema,ila ukitaka kumfanya afeel extra spesho M-PM!....goodluck naona wewe ni zaidi ya PM unataka lols
 
Preta avatar yake huwaga inanisisimua. Kila nikiona jina lake moyo unaruka na kuanza kudunda. Huyo nimewania sana kumtongoza!

hakyanani...sema kweli...basi naomba nikukaribishe nyumbani kabisa
 

.. kny PM,in the end baada ya mazungumzo ya muda mrefu as you put it,mtu atajua kakupenda akukubalie au hajakupenda akukatalie,,,akikubalia na mkaenda kuonyeshana mauzoefu ni sawa,ni watu wawili wenye akili zenu mnajua mnachokifanya...ila pia akikukatalia ukadraw out interest ni sawa vile vile...life is like that...goes on,....hata huko mabarabarani tukitongozwa km hatujampenda mtu hatuexpect aendelee kututongoza....tunamove on expecting somebody else atatunotice na kututongoza...
 

hapo kwenye maandishi meusi eti mauzoefu je kwasisi tusiokuwa wazoefu?
 

mweee....kweli leo umewaamulia...wape wape hao
 
hapo kwenye maandishi meusi eti mauzoefu je kwasisi tusiokuwa wazoefu?

zipu hujalala bado???unless alikuwa anamaanisha vingine nilivyoelewa kuonyeshana uzoefu ni kwenda kuduu na si vinginevyo,sasa hebu uniambie hujawahi kuduu??au umeelewaje???au ni mie ndio sielewi?:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Pauline,

Cool down, mwanamama.. umeanza kwa kasi ya ajabu... wala sina nia ya kukusuta mwayaa!! Gonga basiii.
au umechukua kauli mbiu..kasi zaidi,ari zaidi, ........

Sawa wanaJF, poromosheni PM kwa Pauline apate kujisikia raha.. kwa nini tumyime raha, tuwe wakaarimu.
Wajameni mwenzetu anahitaji kusemeshwa ..tumsemeshe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…