Wakaka na wadada, hii inawahusu 100%

Wakaka na wadada, hii inawahusu 100%

Sijui tu nilikuwaje yani sikutaka kabisa mapenzi ya kishule shule na hilo limenipita kwakweli
 
faida kwako..
hujawahi kukutana na mtongozaji mzuri shuleni...

can u imagine ndiyo unasoma chuo kimoja na utafiti au MO11 afu wakutokee..utachomokea wapi?

Ni malengo tu ukishajiwekea mtu na ukaapa kuyatekeleza

Hao mbona hata wasingeweza kushusha verse?Hao wote midomo zege.......
 
Last edited by a moderator:
Ni malengo tu ukishajiwekea mtu na ukaapa kuyatekeleza

Hao mbona hata wasingeweza kushusha verse?Hao wote midomo zege.......

Hapana mipango yote ya kimahusiano huwa inaishia form 6..
kwa asilimia kubwa!!
hapo chuoni kwako ungekutana na mwanaume mwenye akili usingeweza kuchomoa..

hakuna sehemu rahisi na nyepesi kudate kama chuo..
(mawazo yangu lakini).
 
Hapana mipango yote ya kimahusiano huwa inaishia form 6..
kwa asilimia kubwa!!
hapo chuoni kwako ungekutana na mwanaume mwenye akili usingeweza kuchomoa..

hakuna sehemu rahisi na nyepesi kudate kama chuo..
(mawazo yangu lakini).

Chuo nilichosoma maplayer wakutosha yani hata kudate na mtu unaona kinyaaa.....
 
Chuo nilichosoma maplayer wakutosha yani hata kudate na mtu unaona kinyaaa.....

si umeona sasa ilivyo?
kumbe na wewe ulikuwa unataka lakini uplayer wa ma men ukakushinda..

hapo kukupata wewe ilikuwa through gospel ama
ile ya mohamadi...
 
Back
Top Bottom