wataalam wa hizi mita hebu nipeni uzoefu wenu wa namna navyoweza kuikwepa ile kodi ya mwezi wenyewe wanaita service charge ambayo kwa sasa ni kama elf sita na upuuzi.
Kuna mtu hapa ananambia kuwa eti ukinunua katikati ya mwezi unapata umeme mwingi na haukatwi hii kitu je kuna ukweli katika hili?
Hebu tushauriane hapa namna tunavyoweza kufanya kupunguza hizi gharama
Kuna mtu hapa ananambia kuwa eti ukinunua katikati ya mwezi unapata umeme mwingi na haukatwi hii kitu je kuna ukweli katika hili?
Hebu tushauriane hapa namna tunavyoweza kufanya kupunguza hizi gharama