Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Wakuu kwema?
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....
Nimejichangachanga nimepata 5.5m kuna mhindi nilisoma nae chuo anataka kuniuzia Toyota fielder ambayo ni plate number A, plan yangu nilitaka hasa Ist, Sienta au Rav lakini bajeti yangu haitoshi na kila mara nikijaribu kufanya saving matatizo ya kifamilia hujitokeza najikuta napaswa kuyatatua
Nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya suala hili,maana sina sina ujuzi wa Magari zaidi ya friendly use tuu, nini maoni yenu kuhusu hili gari wakuu, je spare zinapatikana? Gharama zake zikoje?
Gari imeshatembea 150,000km mpaka sasa, litre moja ya mafuta ni 13km ....