unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba (((((((mbili ))))))))))hadi kwenye kona
huku ukiacha kete namba 2 iliwe na ile kingi iliyokula kete namba 3 baada ya hapo ni zamu yako unakula king yake iliyokula kete zako mbili unapitia na king yake nyingine iliyoko mkabala na kete namba 4