Wajuvi na Wajuzi wa Draft

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,587
Reaction score
17,534
Tujuze, utaanza na kete namba ngapi iwapo ni zamu yako kucheza na kete zako ni hizooo
Za
Njano
 
kete ya kucheza ni no.2 hlf unakuja kucheza no.1(king) unairudisha nyuma(kamtego ili akijilenga urudishe ka kete kako kalikoliwa.
 
kete ya kucheza ni no.2 hlf unakuja kucheza no.1(king) unairudisha nyuma(kamtego ili akijilenga urudishe ka kete kako kalikoliwa.
unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba mbili hadi kwenye kona

huku ukiacha kete namba 2 iliwe na ile kingi iliyokula kete namba 3 baada ya hapo ni zamu yako unakula king yake iliyokula kete zako mbili unapitia na king yake nyingine iliyoko mkabala na kete namba 4
 
kete ya kucheza ni no.2 hlf unakuja kucheza no.1(king) unairudisha nyuma(kamtego ili akijilenga urudishe ka kete kako kalikoliwa.
Hivi unajua iyo kete ya katikati ya 2 na 3 ni King?
 
Haya ya kwanza mstari wa pili toka chini umesema kete namba mbili?
 
sijakupata fresh mkuu hapa



Hapo nimeweka mabano mkuu
 


Mpaka hapo limeisha
 
Panga kete ushashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…