Baadhi ya watu waliotoka mikoani kuja Dar es salaam kuhudhuria Mkutano wa CHAUMMA wamelaumu kunyimwa posho walizoahidiwa baada ya kufika Dar es Salaam.
Mmojawapo anasema Wenje aliwatumia hela ya Kula kutoka Mwanza kuja kwenye Mkutano wa CHAUMMA lakini hawajapewa posho yao baada ya kufika Dar na ndiye aliratibu safari yao kufika huku.
Wamedai Wenje amekuwa anahudhuria vikao vyao vya kuwapanga huko Mwanza na tayari ameshajiondoa CHADEMA muda mrefu.
Wanadai pia Mbowe na Wenje wamekuwa wanafanya vikao kadhaa vya siri, na pesa iliyotengwa kwa ajili ya kufanikisha safari za wajumbe ni Tsh. Milioni 250.
Baadhi ya watu waliotoka mikoani kuja Dar es salaam kuhudhuria Mkutano wa CHAUMMA wamelaumu kunyimwa posho walizoahidiwa.
Mmojawapo anasema Wenje aliwatumia hela ya Kula kutoka Mwanza kuja kwenye Mkutano wa CHAUMMA na ndiye aliratibu safari yao kufika huku.
Wamedai Wenje amekuwa anahudhuria vikao vyao vya kuwapanga huko Mwanza na tayari ameshajiondoa CHADEMA muda mrefu.
Wanadai pia Mbowe na Wenje wamekuwa wanafanya vikao kadhaa vya siri, na pesa iliyotengwa kwa ajili ya kufanikisha safari za wajumbe ni Tsh. Milioni 250.
Baadhi ya watu waliotoka mikoani kuja Dar es salaam kuhudhuria Mkutano wa CHAUMMA wamelaumu kunyimwa posho walizoahidiwa baada ya kufika Dar es Salaam.
Mmojawapo anasema Wenje aliwatumia hela ya Kula kutoka Mwanza kuja kwenye Mkutano wa CHAUMMA lakini hawajapewa posho yao baada ya kufika Dar na ndiye aliratibu safari yao kufika huku.
Wamedai Wenje amekuwa anahudhuria vikao vyao vya kuwapanga huko Mwanza na tayari ameshajiondoa CHADEMA muda mrefu.
Wanadai pia Mbowe na Wenje wamekuwa wanafanya vikao kadhaa vya siri, na pesa iliyotengwa kwa ajili ya kufanikisha safari za wajumbe ni Tsh. Milioni 250.
Baadhi ya watu waliotoka mikoani kuja Dar es salaam kuhudhuria Mkutano wa CHAUMMA wamelaumu kunyimwa posho walizoahidiwa baada ya kufika Dar es Salaam.
Mmojawapo anasema Wenje aliwatumia hela ya Kula kutoka Mwanza kuja kwenye Mkutano wa CHAUMMA lakini hawajapewa posho yao baada ya kufika Dar na ndiye aliratibu safari yao kufika huku.
Wamedai Wenje amekuwa anahudhuria vikao vyao vya kuwapanga huko Mwanza na tayari ameshajiondoa CHADEMA muda mrefu.
Wanadai pia Mbowe na Wenje wamekuwa wanafanya vikao kadhaa vya siri, na pesa iliyotengwa kwa ajili ya kufanikisha safari za wajumbe ni Tsh. Milioni 250.
Duh kumbe ni mwendo wa mavuno ya pesa tu, masela wenyewe sasa kila baada ya maneno matano, tusi. Ni pesa za umma ama wafadhiri. Na kama ni wafadhiri watazirejesha namna gani, nani anawapa guarantee, kama ni serikali je wanasamehewa kodi ama ?
Hawa ndio waliwasikia Mbowe na Wenje wakipanga mpango wa kuhamia Chaumma? Na Wenje aliye wawezesha kwenda Dar? Mwisho wakajisahau wakaanza kumsifia Lissu! Tunasubiri kwa hamu kuona watafanya nini kwenye vikao vya Chaumma Mwanza.
Wanadai pia Mbowe na Wenje wamekuwa wanafanya vikao kadhaa vya siri, na pesa iliyotengwa kwa ajili ya kufanikisha safari za wajumbe ni Tsh. Milioni 250.