Naloli
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 416
- 81
Remmy siko juu hata kidogo ndugu yangu najaribu tu kutoa tathmini ya hali halisi kwa upande wa upinzani, kwani kuna post humu jf inaonyesha wa ccm walio kikaangoni majimboni
Ni ukweli ulioongea ktk post yako lakini ningependa kila mwana jf atoe tasmini na maoni yake kupitia jimbo alilopo ili kupata ukweli kuliko kuamini habari za kusikia. Mimi nipo kikazi jimbo la HAI kwa kimpindi cha wiki mbili sasa hapa HAI mjini mji wa BOMANG'OMBE MBOWE anawapeleka puta sana CCM asikuambie mtu kwa utafiti wangu mdogo usio rasmi nilioufanya FUYA KIMBITA mgombea wa CCM mbunge anayemaliza muda wake hali yake si nzuri kisiasa jimboni humu labda sikuzilizo baki kuelekea uchaguzi mambo yabadilike lakini mjini na vijijini mpaka sasa MBOWE amewashika CCM