Ungesema "wajue wanawake ambao hawajaolewa kadri ya umri"
Maana hapo umeongelea wa upande mmoja tu(kutokana na msimamo wako) haujaongelea "wanawake" wote.
Nakuunga mkono asilimia 80% maana bado cjamalizana na sijafika na hao wa 36 mpk 60.....ila kwa hao wengine kuna ukweli kwa sehemu kubwaaaaaa................Mi napita nao kistaarabu tu....bahati nzuri cjui kupenda.................
Nakuunga mkono asilimia 80% maana bado cjamalizana na sijafika na hao wa 36 mpk 60.....ila kwa hao wengine kuna ukweli kwa sehemu kubwaaaaaa................Mi napita nao kistaarabu tu....bahati nzuri cjui kupenda.................