The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 2,221
- 3,359
naomba tupendekeze majina manne kwaajili ya nafasi za mawaziri ambazo mheshmiwa rais yungali anatafuta watu huenda yeye ama wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo 1 fedha na mipango mhe jpm 2 ujenzi mawasiliano uchukuz serukamba/lugola 3 elimu nagu 4 maliasili utalii membe
hapo kuna Lugola tu wengine mizigoNaomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
hapo kwenye namba tatu, huyo mama hana matunda, naomba rais usimteue huyo mtu hata siku moja. siku zote akiwa waziri nilikuwa nalalamika kuona nini anachaguliwa nacho na sikupata jibu.Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
hapo kuna Lugola tu wengine mizigo
Kichwa cha habari?!:- Wajue Mawaziri 4 Viporo?!! Nilijua tayari MwanaHalisi kashafanya yak au Mawio watu wa propa
Naomba tupendekeze majina manne kwa ajili ya nafasi za Mawaziri ambazo Mheshimiwa Rais bado anatafuta watu huenda yeye ana wasaidizi wake wakapita hapa na kuvutiwa na maoni ya great thinkers mi naanza kama ifuatavyo;
1) Fedha na Mipango John Pombe Magufuli
2) Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Serukamba/Lugola
3) Elimu Nagu
4 Maliasili na Utalii Membe
kwenye mambo ya uwazili tunaangalia uwezo, natamani mawaziri wote watoke dodoma teh teh teh.huyo lugola akiteuliwa nyie ndo mtakua wa kwanza kulia kuwa jpm anapendelea kwa kuteua watu kutoka kwao kanda ya ziwa.
kwenye mambo ya uwazili tunaangalia uwezo, natamani mawaziri wote watoke dodoma teh teh teh.