Wajiunga na ACT

Wajiunga na ACT

kailakarama

Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
73
Reaction score
30
Viongozi wa chadema shinyanga mjini wahamia ACT baada ya kuchoshwa na siasa za uzushi za chadema

Walio hamia ACT ni pamoja na Mwenyekiti wa kata ya kambarage ndugu Samwel dalla katibu muenezi kata Merchiory Tafuta, muhazini kata samuel raphael na kata ya chamaguha ni zacharia Samsoni mjumbe mkutano mkuu wilaya na dada misanya muhasibu wa tawi la kambarage
Pamoja na katibu wa solwa bwana Godwin Makomba a.k.a (shelembi mdogo).
 
Hakuna kitu hapa ACT na chadema wote majuha tu.
 
Act mnafurahisha sana,jinsi mnavyojidanganya na kudhani hata watanzania wenye akili wanadanganyika,kila siku eti viongozi wa chadema,kumbe uongo mtupu,wakati mwingine ni mijitu iliyofukuzwa chadema siku nyingi tu.mtabaki hivyohivyo.
 
Lipo jamaa moja huku kwetu,ukiliangalia linakichwa kikubwaaa! Ila jinga kweli.nilishabiki la yule mheshimiwa wa mahakama kutoka magharibi mwa tz,linasema anakokwendamheshimiwa na lenyewe hukohuko,nilipolichunguza,kumbe Lina ukabila na udini,ilepropaganda ya ccm ya udini na ukabila ililiteka ndiyo maana naliita llijinga.sasa hili nalo siku si nyingi litasema lilikuwa katibu mwenezi wa chadema linahamia act,linasubiri mheshimiwa atangaze nia ya kuhamia act.
 
samahani ndugu zangu naomba kuuliza,hivi mmeshawahi kusikia mwanachama wa ccm,cuf,nccr au tlp amehamia act?why kila siku wanahamia wa chadema tu?malengo ya hiki chama ni nini?
 
Lipo jamaa moja huku kwetu,ukiliangalia linakichwa kikubwaaa! Ila jinga kweli.nilishabiki la yule mheshimiwa wa mahakama kutoka magharibi mwa tz,linasema anakokwendamheshimiwa na lenyewe hukohuko,nilipolichunguza,kumbe Lina ukabila na udini,ilepropaganda ya ccm ya udini na ukabila ililiteka ndiyo maana naliita llijinga.sasa hili nalo siku si nyingi litasema lilikuwa katibu mwenezi wa chadema linahamia act,linasubiri mheshimiwa atangaze nia ya kuhamia act.

logo2.png


huna unachojua kaa kimya, JF we dare
 
Viongozi wa chadema shinyanga mjini wahamia ACT baada ya kuchoshwa na siasa za uzushi za chadema

Walio hamia ACT ni pamoja na Mwenyekiti wa kata ya kambarage ndugu Samwel dalla katibu muenezi kata Merchiory Tafuta, muhazini kata samuel raphael na kata ya chamaguha ni zacharia Samsoni mjumbe mkutano mkuu wilaya na dada misanya muhasibu wa tawi la kambarage
Pamoja na katibu wa solwa bwana Godwin Makomba a.k.a (shelembi mdogo).

Hivi kwanini wanachama wote wapya wanaojiunga ACT-Tanzania, ni wanachama kutoka CHADEMA tu. Sijasikia wanachama kutoka vyama vingine mfano CCM, TLP, UDP au Watanzania wasiokuwa na vyama wakijiunga ACT-Tanzania?!

Au siku hizi Watanzania wote ni CHADEMA?
 
Huo ni unafki kama si umbeya, weka ushahid hapa wa pic si unaongea tu kwa kujiraji ww hapo weka ushahid hapa
 
Back
Top Bottom