Wajemeni Abdalla Zombe yuko wapi?

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Yule kamanda wa Polisi aliyeshitakiwa katika kesi ya kuwauwa wachimba madini ya rubi wa Morogoro akiitwa Abdalla Zombe yuko wapi baada ya kushinda kesi ?

Aliisha lipwa mamillioni yake? Nakumbuka aliwahi sema CHADEMA ikichukua madaraka atajinyonga, pia aliwahi kudai eti wakati yeye ni Polisi RCO dsm alikuwa anafahamu kuwa Godbless Lema Mbunge wa Arusha mjini alikuwa ni mwizi wa magari ni hapo waziri wa mambo ya ndani wakati ule Somebody Nahodha alimpiga stop kusema maneno hayo. Sasa hivi kamanda huyo yuko wapi?
 
Huenda alikuwa anasema ukweli kwani Zombe alifanya kazi sana KILIMANJARO na washikaji zake damudamu walikuwa haohao
 
Mwaka 2005 gazeti la Uwazi lilitoka na kichwa cha habari "NI KWELI ZOMBE ANAVUTA BANGI?"...unaeza kuanzia hapo kama unataka kujua alipo.
 

Mara yako ya mwisho kuwaulizia Ndugu zako wa Ukoo uliopotezana nao miaka mingi ilikuwa ni lini kabla ya Kumuulizia Zombe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…