katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
For past few days yaani mimi sina nguvu ya majibizano ya kila saa .
Meaning ninao uwezo wakujibizana na mtu kama sio madharau au matusi.
Unakuta mtu ni kizeee au amepita miaka 20 unatukana tusi mpaka aibu.
Acheni matusi.
Mimi sijui hunijui huwajui kwanini umtukane matusi machafu wewe unajionaje umekaa dining room unatukana watu tu bila sababu siulale.??
Ila naombeni msinitusi mimi nimechoka na msiposikia na wareport sina hiyo energy.
Meaning ninao uwezo wakujibizana na mtu kama sio madharau au matusi.
Unakuta mtu ni kizeee au amepita miaka 20 unatukana tusi mpaka aibu.
Acheni matusi.
Mimi sijui hunijui huwajui kwanini umtukane matusi machafu wewe unajionaje umekaa dining room unatukana watu tu bila sababu siulale.??
Ila naombeni msinitusi mimi nimechoka na msiposikia na wareport sina hiyo energy.