Waislamu na Wakristo tutumie dini zetu kudumisha amani na umoja wa kitataifa

Msamiati

Simply Tanzania ina zaidi ya waislamu na wakristo na nadhani kundi kubwa hapa ni wale wa dini za kienyeji kwani wengi bado wanatambika mababu na mabibi, wanawasiliana na wachawi(waabudu shetani) hata kwa kupata ushindi wa mpira au wa kisiasa, hata kama wanajifanya ni wakristo wa waislamu ilhali dini hizo zinapinga ushirikina.

Kwao, dini hizi mbili ni mfumo wa kisasa wa maisha ambao cha muhimu kwao ni kuzikwa tu ama kikristo(kama kupo) au kiislamu(kama kupo pia). Uepo wa watu wa imani kali kwa dini yoyote kati mbili hizi, au yoyote nyingine, ambayo itahalalisha mauaji, itakuwa ni tatizo si kwa dini hizi mbili tu bali pia kwa wale wasio wa dini hizo.

Nito angalizo tu kuwa jirani zetu Rwanda na Burundi walipochinjana na kulipuana kwa misingi ya uhutu na ututsi, hata wasio wa makabila hayo waliathilika. Isiwe hivi kwetu au popote pale.
 
Last edited by a moderator:
Kugombana na kulumbana kila siku kwa sababu ya dini/mila tulizoletewa na waarabu/mayahudi/wazungu ni upu.mbavu wa kiwango cha juu sana!!! Sisi miafrika ni mijinga sana!!! hivi hizi dini za kigeni ndo zinafundisha ubinafsi,kujikweza na chuki kiasi hiki ?!

Hizi dini za kigeni zililetwa na haya maguruwe ili tuvurugane tutengane halafu yarudi kututafuna vizuri. Ndo maana kina Kiranga huwa wanasema hizi dini zinasababisha ulemavu wa akili wa kiwango cha juu sana!!!

Sijawahi kusikia wanaoabudu dini za asili wakilalama wao kuonewa au dini nyingine kupendelewa!!! Ila hizi dini za wakoloni hizi ni tatizo!! malalamiko na kelele haziishi!!! Yaani miafrika ndo tumekuwa "wafia dini" hizi za kikoloni; tuko tayari kuizika historia yetu na undugu wetu kwa ajili ya kupigania dini hizi!!! Tuko tayari kuitana majina ya kibaguzi ya kila aina,kudhibitisha uumini na ufuasi wetu kwa dini hizi. SHAME, SHAME !

TANZANIA NI ZAIDI YA DINI HIZI MBILI ZA KULETEWA NA WAKOLONI(MAGURUWE) !Aliyojisemea James Watson kuwa inawezekana kuwa uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuwa mjinga na kuwa na ngozi nyeusi.

Haya bwana, "wenye dini" endeleeni kulumbana; wacha sie "wapagani" tupite kushoto. Tafakari, chukua hatua.
 
Pumzika kwa Amani yake Bwana wetu!

Tutakukumbuka daima,ulikutenda mengi mazuri hakika neno lako halitaenda bure!

Bwana akupumzishe shambani mwake!!!
 
Back
Top Bottom