Msamiati
R I P
- Mar 6, 2011
- 1,063
- 697
- Thread starter
- #21
Huruhusiwi.....mjadala unawahusu watajwa hapo juu...mimi na wewe tupite hivi........
KikulachoChako karibu kwenye mjadala
Huruhusiwi.....mjadala unawahusu watajwa hapo juu...mimi na wewe tupite hivi........
KikulachoChako karibu kwenye mjadala
Kwa uzoefu ni kwamba mijadala baina ya dini zenye imani tofauti huishia kuvunja amani maana haiwezekani kufikia consesus. Therefore ni meaningless kuwa na mijadala ya aina hiyo. Lakini zaidi sana mijadala ya kidini kati ya ukristo na uislamu haiwezi kuisha vzr maana ukweli wenzetu waislamu si watu wa amani kabisa. Huo ndio ukweli!
Hayo ni makundi ya mercenaries yanayojificha kwa kutumia miavuli ya kidini ktk kutekeleza mambo yao pale washirika wao wanapokwenda kinyume na makubaliano ndio mauaji hutokea na kusingizia dini. Uislamu wetu haufundishi uovu wa namna hiyo. Wakati wa mtume (SAW) hakukuwa na ugaidi. Haya mambo yameshamiri kuanzia miaka ya 1990s na yamechagizwa na sera za nje za wamagharibi.
Waislam wenye siasa kali wataisha pindi marekani itakapoacha kuwarubuni vijana wa kiislam na kuwapa mafunzo ya kivita ili wawapige wenzao,pia wakristo watakapoacha kuwabagua waislam ktk elimu ajira
Waislam wenye siasa kali wataisha pindi marekani itakapoacha kuwarubuni vijana wa kiislam na kuwapa mafunzo ya kivita ili wawapige wenzao,pia wakristo watakapoacha kuwabagua waislam ktk elimu ajira
Sasa dunia inakabiliana tishio la usalama linalosababishwa na uislamu wa msimamo mkali. Huu ni tishio kwa watu wote bila ya kujali dini zao, hata kwa waislamu wenyewe. Somalia, Nigeria, Misri, Syria, Indonesia, Kenya hadi Pakistani ni mifano michache ya wahanga wa mfumo huu wa uislamu wa msimamo mkali. Ngaa kipo kisingizio cha kueneza dini lakini kumekuwa na athali hata miongoni mwa jamii za kiislamu kama ilvyotokea majuzi kule Pakistani wakati waumini wa msimamo mkali walipowateketeza watoto wa shule zaidi ya 130. Kwa bahati mbaya, jamii ya waislamu imekuwa kimya kukemea na kuchukua hatua dhidi ya unyama huu uliovikwa vazi la kidini ili kutupumbaza na kutugawa. Sasa ni wakati muafaka jamii yetu ya waislamu kuamka na kuungana na jamii zingine dhidi ya hawa wajifanyao ndugu za waislamu na wenye kuwatetea kumbe sio na ni wenye kuwateketeza hata waislamu wenzao. Muda ni huu, tuchukue hatua kabla hatujajutia maamuzi yetu.
Killing in the name of Allah!!! are christians doing the same? msikatae ukweli na kujificha katika kichaka cha kusingizia wazungu kuwa wanasababisha,kama uislam haufundishi siasa kali wazungu wasingefanikiwa kama ni kweli wanachangia, saidieni waislam wenzenu wa nigeria,Iraq,syria na maeneo mengine dhidi ya itikadi hiyo ya kipumbavu msikalie kusingizia wazungu jamaniiiiiiii