Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,376
Wakuu habari zenu,
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyonge'
Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.
Labda wenzetu mtusaide kwakuwa mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?
Karibuni mtujuze
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyonge'
Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.
Labda wenzetu mtusaide kwakuwa mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?
Karibuni mtujuze