'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?

Alimaanisha Philomena, ila nyimbo za huyu dada zinatafsiri ngumu ngumu alikuwa anaimba ilimradi inaenda na tune..
 
Pamoja na hayo kaimba nyimbo za kiswahili nzuri sana ikiwepo ya aliyo mshirikisha Banana Zoro kama alikuwa ajui kusoma mashahiri alikuwa ana hadithiwa na kumeza au studio walitumia njia gani ?
 
Back
Top Bottom