Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,628
- 1,289
Ndugu d rweyemamu wa masaki dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha mwanae j rweyemamu wa oysterbay kilichotekea jana australia baada ya kupaliwa na burger akiwa anaendesha range rover yake mpya, mwili wa marehemu utasafirishwa kwenda kuzikwa kwa aunt yao marekani ....
Taarifa ziwafikie ndugu wote akiwemo p ronaldo rweyemamu wa portugal, cyreen kardashian rweyemamu wa u.s.a ...... Inno torres rweyemamu wa spain....azeez walcot rweyemamu wa england na house girl marie aliyeko dubai kwa shopping"
Taarifa ziwafikie ndugu wote akiwemo p ronaldo rweyemamu wa portugal, cyreen kardashian rweyemamu wa u.s.a ...... Inno torres rweyemamu wa spain....azeez walcot rweyemamu wa england na house girl marie aliyeko dubai kwa shopping"