Kama sio picha za pilau poa tu! Mbona hata bbc walionesha picha za maiti za central africa harafu wakaomba radhi? Lets learn to appreciate ours!
Kuna tabia naona inazidi kujengeka katika baadhi ya vyombo vya habari vya televisheni, wanaita Runinga. Na muda mfupi uliopita Chaneli Ten wametoa "kituko" kama hicho. Utasikia wanaanza kusema "Samahani kwa Picha tutakazoonesha hivi sasa".
Wahariri mnatukera baadhi ya Watazamaji. Kama mnajua kabisa picha ni mbaya na haziwezi kutazamika kwenye umma, kwanini knaamua kuziweka ? Na kuomba radhi kabla kunasaidia nini?
TCRA tusaidieni kwa jambo hili linazidi kuota mizizi. TV zinatazamwa na wengi sio katika faragha.
Kuna tabia naona inazidi kujengeka katika baadhi ya vyombo vya habari vya televisheni, wanaita Runinga. Na muda mfupi uliopita Chaneli Ten wametoa "kituko" kama hicho. Utasikia wanaanza kusema "Samahani kwa Picha tutakazoonesha hivi sasa".
Wahariri mnatukera baadhi ya Watazamaji. Kama mnajua kabisa picha ni mbaya na haziwezi kutazamika kwenye umma, kwanini knaamua kuziweka ? Na kuomba radhi kabla kunasaidia nini?
TCRA tusaidieni kwa jambo hili linazidi kuota mizizi. TV zinatazamwa na wengi sio katika faragha.
Kuna tabia naona inazidi kujengeka katika baadhi ya vyombo vya habari vya televisheni, wanaita Runinga. Na muda mfupi uliopita Chaneli Ten wametoa "kituko" kama hicho. Utasikia wanaanza kusema "Samahani kwa Picha tutakazoonesha hivi sasa".
Wahariri mnatukera baadhi ya Watazamaji. Kama mnajua kabisa picha ni mbaya na haziwezi kutazamika kwenye umma, kwanini knaamua kuziweka ? Na kuomba radhi kabla kunasaidia nini?
TCRA tusaidieni kwa jambo hili linazidi kuota mizizi. TV zinatazamwa na wengi sio katika faragha.