Waha na Biashara za Kukopesha

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,067
Kwa Jinsi mambo yalivyo, naimani ipo siku waha, wataanza kukopesha kila kitu

Maana Hawa jamaa wameshika hatamu uku mtaani kwa Biashara ya kukopesha.

Malipo Buku kwa siku.....
 
Hawa jamaa wanakula sana mademu wapenda dezo.(wake za watu ndio wengi)

Yaani waha na bodaboda wanapelekana anus to anus kwenye suala la kula wake za watu.
 
Hawa jamaa wanakula sana mademu wapenda dezo.(wake za watu ndio wengi)

Yaani waha na bodaboda wanapelekana anus to anus kwenye suala la kula wake za watu.
Fafanua kidogo mkuu, tusanuke
 
Ukikopa umeisha utakuwa mtumwa wa marejesho kila uchao hakuna kitu utafanya kifanikiwe ukikopa laki 2 utarudisha milion 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…