GE2010 Wagombea Wenza

Konaball

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
2,949
Reaction score
1,940
Katika kufuatilia kwangu habari za uchaguzi mkuu ujao, habari ya wagombea wenza inayopewa kipa umbele na vyombo vya habari ni ya mgombea mwenza wa CCM, lakini wagombea wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR, TLP na vingine sizioni kabisa kwenye TV na Magazeti au wao hawafanyi kampeni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…