boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,404
Kutokana na hali inavyoendelea vyama mbalimbali vya siasa vinafanya kampeni kinyume na sheria iliyowekwa. Hivyo wanafanya dhambi ya kuvunja utaratibu
Taifa hili linaamini Dini japokuwa serikali haina dini ila watu walioserikalini wana dini
Inapotikea chama kufanya dhambi ya kutaka kuiba, kuongea uongo, kupanga mipango yoyote ile inayohusu kuharibu au kuwaaribia wenzao ni dhahiri watu hao hawafai kwa maana hawana hofu na Mungu
Tunaiona Tanzania Leo ukiongea ukweli ww ni mmbaya,
Ukitaka haki unatukanwa na mambo mengine mengi
Taifa hili linaamini Dini japokuwa serikali haina dini ila watu walioserikalini wana dini
Inapotikea chama kufanya dhambi ya kutaka kuiba, kuongea uongo, kupanga mipango yoyote ile inayohusu kuharibu au kuwaaribia wenzao ni dhahiri watu hao hawafai kwa maana hawana hofu na Mungu
Tunaiona Tanzania Leo ukiongea ukweli ww ni mmbaya,
Ukitaka haki unatukanwa na mambo mengine mengi