wagombea wa Chadema Arumeru mashariki wafikia sita.

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Wagombea wanaowania ubunge kwa tiketi ya Chadema walio chukua fomu hadi sasa hivi kuwania jimbo la Arumeru mashariki wamefikia sita wakiwa ni wanaume wanne na wanawake wawili. source channel 10.
 
I wish all the best to Joshua i hope ataibuka kidedea huu ni muda wa vijana wazee wamekula sana.
 
Nafasi hiyo apewe mwanamke kama njia ya kuibua vipaji vipya kwa upande wa akina mama
 
cdm ifuate principles kumpata mbunge mpya,EL sio tishio maana hajatujibu kuhusu Richmond.Nepi pia kafulia,kwa ujumla cdm wanapata jimbo mpya.
 
Joshua Nassary Mpambanaji ni vizuri apitishwe:peace: Huyu atapita kwa asilimia nyingi sana akisimamishwa na Chadema
 
Back
Top Bottom