Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,919
- 31,161
Leo wagombea ubunge Arusha mjini walishiriki kuadhimisha siku ya wazee duniani kwa kushiriki maandamo yaliyoanzia ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha.Wagombea ubunge wa vyama vya Demokrasia makini,CUF na CHADEMA hawakushiriki maadhimisho hayo pamoja na kuarifiwa kwa barua.
Wagombea ubunge wa vyama vya TLP Bwana Lyimo na CCM Mama Batilda Buriani walishiriki maandamano hayo yaliyowashirikisha wazee kutoka kata zote za Arusha mjini.Wagombea wote walitumia fursa hiyo muhimu kunadi sera za vyama vyao.
Wagombea ubunge wa vyama vya TLP Bwana Lyimo na CCM Mama Batilda Buriani walishiriki maandamano hayo yaliyowashirikisha wazee kutoka kata zote za Arusha mjini.Wagombea wote walitumia fursa hiyo muhimu kunadi sera za vyama vyao.