DISPLEI
Member
- Oct 17, 2012
- 73
- 48
Nimekutana na watu kadhaa wanaoutaka Ubunge kwa mwaka 2020. Watu hao wako umri wa miaka ya 30 hadi 50. Wana elimu zao za juu lakini unakuta mtu kapigika kweli kweli na ana zaidi ya miaka 10 mtaani.
Wengine ni wa kiume hata kupanga chumba hawajaweza wanakula na kuishi kwa wake zao.
Wapo hata wadada umri huo huo wako kwa wazazi na walezi wao. Hata wazo la kuanzisha banda la chips hawajakuwa nalo, sasa Ubunge kweli ni mwepesi kiasi hicho?
kwa Ubunge ambao unahitaji maono makubwa katika karne hii watauweza au ndo kutafuta kushibisha natumbo yao na kutafuta nitoke vipi.
Karne hii na mwelekeo wa nchi tunahitaji wabeba maono na wenye uwezo wa kuthubutu kuanzisha wazo na kulisimamia. Wafanya mahamuzi kuhusu wagombea walitazame hili tupate wagombea sahihi sio wasaka tonge.
Wengine ni wa kiume hata kupanga chumba hawajaweza wanakula na kuishi kwa wake zao.
Wapo hata wadada umri huo huo wako kwa wazazi na walezi wao. Hata wazo la kuanzisha banda la chips hawajakuwa nalo, sasa Ubunge kweli ni mwepesi kiasi hicho?
kwa Ubunge ambao unahitaji maono makubwa katika karne hii watauweza au ndo kutafuta kushibisha natumbo yao na kutafuta nitoke vipi.
Karne hii na mwelekeo wa nchi tunahitaji wabeba maono na wenye uwezo wa kuthubutu kuanzisha wazo na kulisimamia. Wafanya mahamuzi kuhusu wagombea walitazame hili tupate wagombea sahihi sio wasaka tonge.