kamsongole
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 111
- 15
Hello wadau, habari zenu jamani. Mi naomba kuuliza wanasheria, hivi wafungwa wanaruhusiwa kupiga kura? Maana nina wasiwasi na huu mchezo wa kamatakamata huenda siku ya kupiga kura wengine wakawa gerezani. Naomba kusaidiwa katika hili wana JF