WAFUGAJI WA NGURUWE

WAFUGAJI WA NGURUWE

Joined
Nov 6, 2016
Posts
92
Reaction score
280
MAX PIG SUPER MEAT

VIRUTUBISHO ASILIA BORA KWA AFYA YA NGURUWE WAKO.


■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT.

-Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa.

-Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema.

-Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe hustaimili magonjwa (Sahau kutibu).


-Hupunguza gharama ya ulishaji kwani 1Kg ya max pig inaweza kuchanganya kwenye nusu tani ya chakula chako na nguruwe wako na akapata lishe yote (Mlo kamili).


-Huondoa harufu mbaya bandani (Hutopata kero za mairani).


-Huongeza hamu ya kula kutokana na utamu usio wa kawaida wa max pig pamoja na harufu nzuri.


■ Jinsi ya kuanza kuitumia max pig punde tu baada ya kuipata kutoka Mifugo plus.

-Chukuwa 1Kg ya max pig kisha changanya kwenye chakula chako chenye Kg500/ nusu tani ulichokwisha andaaa tayari.


■Pia unaweza tumia max pig kwenye maji.

-Chukuwa 1Kg ya max pig kisha changanya kwenye maji Lita 1000.

Wafugaji wote wa nguruwe walio wahi tumia max pig wamepata matokeo na wanazidi kufurahia ufugaji huu adhimu.


■Karibu mifugo plus ujipatie KG1 ya max pig kwa bei ya 30,000/=Tsh tu.

NB:- USIPO PATA MATOKE NDANI YA SIKU 14 NJOO UCHUKUWE HELA YAKO

Mifugo plus group tupo Dar es salaam tegeta kwa ndevu darajani njia ya kwenda jeshini.
Wasiliana nasi kwa simu namba.

0762 212 623
0785 670 227
0755 334 862

■Tunafanya Delivery na tuna mawakala mikoani Tanzania.

■Tumia max pig super meat uingie sokoni kwa faida na kwa wakati.

Call
0762 212 623
 

Attachments

  • IMG-20250207-WA0009.jpg
    IMG-20250207-WA0009.jpg
    87.1 KB · Views: 20
Anachukua mida gani/miezi mingapia hadi anafikia kutosha kuchinjwa?
 
Back
Top Bottom