simplemind JF-Expert Member Apr 10, 2009 16,409 9,183 Nov 24, 2016 #41 Napenda UKAWA kila kitu chako napenda. UKAWA is future CCM is past.
KANYAMA JF-Expert Member Aug 7, 2011 1,482 2,272 Nov 24, 2016 #42 MKWEPA KODI said: Propesa wamemuharibu kabisa, amekuwa uvccm Click to expand... Ganji la uhamisho wa straika Mamvi lilimpita kushoto akaamua kuweka mpira kwapani kwani hapendi ujinga..
MKWEPA KODI said: Propesa wamemuharibu kabisa, amekuwa uvccm Click to expand... Ganji la uhamisho wa straika Mamvi lilimpita kushoto akaamua kuweka mpira kwapani kwani hapendi ujinga..
amygdala JF-Expert Member Jul 11, 2016 1,082 997 Nov 24, 2016 #43 hapo waliuozchapa ni wafuasi wa cuf na wa ccm
Maguge Maguge JF-Expert Member Sep 1, 2016 2,734 1,774 Nov 24, 2016 #44 serikali ina mkono mrefu, yaani cuf wameiua tayari, ki masihara masihara
tebweta JF-Expert Member Jun 12, 2016 211 157 Nov 24, 2016 #45 Cuf haiwezi kufa, Wafuhasi wake wanajielewa
OSOKONI JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,965 5,336 Nov 24, 2016 #46 jogi said: Nataka kusikia wafuasi wa lipumba wamechezea vitasa vya maana!!!! Click to expand... Wafuasi wa Lipumba wamepewa ndochi kadhaa
jogi said: Nataka kusikia wafuasi wa lipumba wamechezea vitasa vya maana!!!! Click to expand... Wafuasi wa Lipumba wamepewa ndochi kadhaa
IRIOKO JF-Expert Member Jan 19, 2016 279 268 Nov 24, 2016 #48 professor njaa atulie tu staki nataka anatia aibu, alizokula zinatosha
spetinaty JF-Expert Member Oct 23, 2016 229 125 Nov 24, 2016 #49 Duh tz kuna mazuzu wengi kweli yan lipumba bado anawafuasi? Au n jamaa wakununua?