Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii.
Watu wametoka nje ya chumba cha mahakama kushinikiza watu waliozuiwa kuingia mahakamani waruhusiwe kuingia ndani.
Your browser is not able to display this video.
Majaji wameingia kwenye ukumbi wa Mahakama kwa ajili ya kesi ya Lissu kuanza
Imebidi Viongozi wote wa Chama na Wanachama wote ambao tayari walikuwa wameshaingia ukumbiki wametoka njee kuonyesha kutounga mkono kitendo cha Polisi kuzuia watu waiingie Mahakanani.
Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii.
Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii.
Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii.
Majaji wameingia kwenye ukumbi wa Mahakama kwa ajili ya kesi ya Lissu kuanza
Imebidi Viongozi wote wa Chama na Wanachama wote ambao tayari walikuwa wameshaingia ukumbiki wametoka njee kuonyesha kutounga mkono kitendo cha Polisi kuzuia watu waiingie Mahakanani.
Leo Polisi wanazuia watu kuingia ndani ya chumba cha mahakama, kusikiliza Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, wakidai mahakama imejaa lakini ndani hali ni hii.
Majaji wameingia kwenye ukumbi wa Mahakama kwa ajili ya kesi ya Lissu kuanza
Imebidi Viongozi wote wa Chama na Wanachama wote ambao tayari walikuwa wameshaingia ukumbiki wametoka njee kuonyesha kutounga mkono kitendo cha Polisi kuzuia watu waiingie Mahakanani.