Wafanyakazi zaidi ya mia wapunguzwa cocacola kwanza limited

zamtaya_pr

Senior Member
Jun 29, 2015
140
45
Jana kulitokea taarifa ya kuwahitaji wafanyakazi wote makao makuu na wa Mikoani kuwakilishwa na viongozi wao.

Kikao kimemalizika kwa neno kutoka kwa MD kwamba zaidi ya wafanyakazi 100 kupunguzwa kutokana na hali ya kampuni na uchumi kwa ujumla.

Tuwaombee ndugu zetu hawa walipokee kama lilivyo na ntaendelea kuwaletea yanayojili zaidi.
 
Mengi huwa anafanikiwa zaid kipindi cha Ma Rais anaowachukia sana

Alifanikiwa zaid kibiashara kipindi cha Mzee Mwinyi na Kikwete!

Hela za Kunywea soda zilikuwa za dili sio mshahara
Mengi ni bonite, hii kwanza sidhan kama mengi anahisa!!
 
Jana kulitokea taarifa ya kuwahitaji wafanyakazi wote makao makuu na wa Mikoani kuwakilishwa na viongozi wao.
Kikao kimemalizika kwa neno kutoka kwa MD kwamba zaidi ya wafanyakazi 100 kupunguzwa kutokana na hali ya kampuni na uchumi kwa ujumla.
Tuwaombee ndugu zetu hawa walipokee kama lilivyo na ntaendelea kuwaletea yanayojili zaidi.
hata hivyo coca cola siku hizi mauzo yamedorola sana. Competition ni kubwa kutoka pepsi.
 
Jana kulitokea taarifa ya kuwahitaji wafanyakazi wote makao makuu na wa Mikoani kuwakilishwa na viongozi wao.
Kikao kimemalizika kwa neno kutoka kwa MD kwamba zaidi ya wafanyakazi 100 kupunguzwa kutokana na hali ya kampuni na uchumi kwa ujumla.
Tuwaombee ndugu zetu hawa walipokee kama lilivyo na ntaendelea kuwaletea yanayojili zaidi.

si habari njema kuingia masikioni, Mungu wabariki Cocacoala Tz na sisi sote
 
Mengi huwa anafanikiwa zaid kipindi cha Ma Rais anaowachukia sana

Alifanikiwa zaid kibiashara kipindi cha Mzee Mwinyi na Kikwete!

Hela za Kunywea soda zilikuwa za dili sio mshahara
Cocacola ndio wanapunguza watu kazi siyo Mengi,infact hata Bahresa,Mo,konyagi,TBL wamepunguza watu kazi,so expect more.
 
Back
Top Bottom