sergio 5 JF-Expert Member May 22, 2017 9,316 10,564 Jun 13, 2017 #3 Akili ndyo kitu gan mnaweza mkatupa picha za akili tuione?
P petrocaptain JF-Expert Member Dec 17, 2016 211 122 Jun 13, 2017 #5 Hahahahhaaahahaaa bora mm nalima na badooooo
Sooth JF-Expert Member Apr 27, 2009 3,922 5,619 Jun 13, 2017 #6 Nimempenda sana huyu mbunge kwa kuwa mkweli. Inatia moyo kwamba sio Lumumba FC wote wamekopeshwa akili. Kuna wachache wanazo zao wenyewe,
Nimempenda sana huyu mbunge kwa kuwa mkweli. Inatia moyo kwamba sio Lumumba FC wote wamekopeshwa akili. Kuna wachache wanazo zao wenyewe,
The Hyper JF-Expert Member Feb 20, 2012 1,788 1,101 Jun 13, 2017 #7 Bora mmetusemea ndg zetu wabunge, siye tumeamua kukaa tu kimya kwa sasa.
Mzizi wa Mbuyu JF-Expert Member May 15, 2009 7,375 6,957 Jun 13, 2017 #8 Hivi huyu ni wa CCM!? Safi sana! Wafanyakazi wa Tanzania wametishwa hadi wanaogopa kusambaziana hii video!! Wanaona watachukuliwa kama wahaini!!?!
Hivi huyu ni wa CCM!? Safi sana! Wafanyakazi wa Tanzania wametishwa hadi wanaogopa kusambaziana hii video!! Wanaona watachukuliwa kama wahaini!!?!
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 6,136 7,076 Jun 14, 2017 Thread starter #10 allan clement said: hahahahaha ccm oyeee Click to expand...
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 6,136 7,076 Jun 14, 2017 Thread starter #11 Kisa amenena ukweli soul provider said: Subiri rungu limuangukie Click to expand...
ipogolo JF-Expert Member Aug 15, 2011 6,280 5,979 Jun 14, 2017 #12 Vyama vya wafanyakazi vipo kimyaaaa! Akina rais na katibu wake. Tucta oyeeeee
Mr.Junior JF-Expert Member Sep 8, 2013 12,448 11,022 Jun 14, 2017 #14 Dr. Sanga said: Click to expand... Huyu jamaa ndio aliouliza Bashite ndio nani? Timu ikifungwa 3-0 wanasema 3-Bashite......
Dr. Sanga said: Click to expand... Huyu jamaa ndio aliouliza Bashite ndio nani? Timu ikifungwa 3-0 wanasema 3-Bashite......
soul provider JF-Expert Member Jun 21, 2014 1,341 2,113 Jun 14, 2017 #15 Dr. Sanga said: Kisa amenena ukweli Click to expand... Si ruhusa kumnyooshea kidole mkulu, yeye huwa anapokea sifa tu.
Dr. Sanga said: Kisa amenena ukweli Click to expand... Si ruhusa kumnyooshea kidole mkulu, yeye huwa anapokea sifa tu.
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 6,136 7,076 Jun 16, 2017 Thread starter #17 Kivipi issa mweusi said: hawatabirik hao Click to expand...
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 6,136 7,076 Jul 2, 2017 Thread starter #18 Hili swala uhakiki wa Watumishi wa Umma mbona sielewi mimi.
tamuuuuu JF-Expert Member Mar 10, 2014 21,244 27,926 Jul 2, 2017 #19 Kawachana live,Na Mimi nasema watumishi gomeni kabisa kabisa. Waache ujinga hawa ccm. Maisha mnayoishi sio, haiwezekani ni dhuluma dhuluma sana. Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
Kawachana live,Na Mimi nasema watumishi gomeni kabisa kabisa. Waache ujinga hawa ccm. Maisha mnayoishi sio, haiwezekani ni dhuluma dhuluma sana. Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
mojave JF-Expert Member Apr 30, 2016 5,568 6,424 Jul 2, 2017 #20 Mr.Junior said: Huyu jamaa ndio aliouliza Bashite ndio nani? Timu ikifungwa 3-0 wanasema 3-Bashite...... Click to expand... Ndo huyu mkuu.
Mr.Junior said: Huyu jamaa ndio aliouliza Bashite ndio nani? Timu ikifungwa 3-0 wanasema 3-Bashite...... Click to expand... Ndo huyu mkuu.