Sioni sababu ya wafanyakazi kuwepo ama kutokuwepo katika ziara yake kwani wala hawataongeza wa kupunguza lolote. Wakihuduria kwa wa TZ ninavyowajua kumuona JK tu watatamani hata kumuomba msamaha kwa kupanga mgomo.....tunaogopa dola kweli!
Pili sidhani kama rais ataongeza au kupunnguza lolote hata wakienda ama wasipoenda kwa sababu kwa tathmin yake ni kwamba miaka 8 ijayo serikali haiwezi kuwaweka wanapotaka...msimamo huu unaonekana hauwezi kubadilishika hata kama watahudhuria au hawata hudhuria
Lakini zaidi ni kwamba wamachinga, wa mama wa nyumbani wauza vitumbua,wanafunzi hilo tukio kwa ni la muhimu sana watajazana sana wakiimba na kumshangilia kila atakapopita kwa iyo uwepo au kutokuwepo kwa wafanyakazi kwenye mikutano hakuna tija kivileeeeeeee
Usidhani huu ujio kapanga jana jioni wenzaako washamwandalia vikundi vya mganda,zeze na wauliza maswali ka iyo kusema kuwa ataongea na watu wa msafara wake ili ajisike upweke hilo halipo........wanachama na wapenzi wake wapo tayari kumpokea