Wafanyakazi wa Bandari tuliwatetea sana ila tunawaacha mteseke, Mmechangia kubinafsishwa kwa Bandari

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,227
11,416
Moja kati ya watu Ambao nlipinga sana kubinafsishwa kwa Bandari basi mimi ni mmojawao sikupenda kabisa huu mpango, Lakini nilipokaa na kukumbuka kipindi najitafuta nikiwa nafanya Vibarua Bandarini kabla sijapata ajira ya kudumu naona acha hiyo bandari waarabu waichukue wafanyakazi walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea sana

Moja kati ya mambo nliyokutana nayo ni waajiriwa kufanya kazi kwa mazoea na kujiskia kupitiliza na kuwa na zarau,Pia waajiriwa walikuwa ni wavivu ,vibarua ndio tuliokuwa tunachapika kwazi nyingi huku waajiriwa wamerelax maofisini

Supervisor anakuja kutoa maelekezo shift ya usiku pale Berth, ikifika saa sita anatafuta chaka anaenda kulala hadi asubuhi anarudi pale berth alfajiri kuzuga kuchukua ripoti kwa vibarua alafu anasepa nyumbani mapema tu, yaani watu walifafanya kazi kwa mazoea kupitiliza.

Mambo ya lunch time masaa ndio uspime, mizgo inajaa bandarini meli zinasongamana plus tetesi za upigaji hivi mlitegemea Seriakali ifanye nini, Wananchi tumewatetea hadi wenyewe tunafika mda tunaona aibu maana Taasisi za Serikali kuwatetea ni aibu sana

Hata kama ningekuww mimi namiliki Bandari naweka ndugu zangu wazawa wasimamie Alafu wanatumia hiyo nafasi,kufanya upigaji alafu kila mwezi naletewa hesabu ya sh milioni 200, alatu aje mwekezaji aniambie tuingie mkataba kila mwezi nikuletee Bilioni moja na Hesabu inaweza kupanda ,unazani nitafuga majizi niache hiyo bilioni moja na ushee?

Wabongo tukubaliane kila sehem tunayoachwa kuendesha wenyewe tunaishia kuiba na kufanya kazi kwa mazoea tu mwishowe tunapata hasara, angalia ATCL,TRC,TTCL,MWENDOKASI, Huku kote Seriali iendelee kuwapa wawekezaji heshima iwepo
 
Moja kati ya watu Ambao nlipinga sana kubinafsishwa kwa Bandari basi mimi ni mmojawao sikupenda kabisa huu mpango, Lakini nilipokaa na kukumbuka kipindi najitafuta nikiwa nafanya Vibarua Bandarini kabla sijapata ajira ya kudumu naona acha hiyo bandari waarabu waichukue wafanyakazi walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea sana

Moja kati ya mambo nliyokutana nayo ni waajiriwa kufanya kazi kwa mazoea na kujiskia kupitiliza na kuwa na zarau,pia waajiriwa walikuwa ni wavivu ,vibarua ndio tuliokuwa tunachapika

Supervisor anakuja kutoa maelekezosawa shift ya usiku alafu ikifika saa sita anatafuta chaka anaenda kulala hadi asubuhi anarudi pale berth alfajuri kuzuga kuchukua ripoti kwa vibarua alafu anasepa nyumbani yaani watu walifafanya kazi kwa mazoea

Mambo ya lunch time masaa ndio uspime, mizgo inajaa bandarini meli zinasongamana plus tetesi za upigaji hivi mlitegemea Seriakali ifanye nini

Hata kama ni mimi namiliki mahoteli naweka ndugu zangu wasimamie wanatumia hiyo nafasi,kufanya upigaji alafu kila mwezi naletewa hesabu milioni 200, alatu aje mwekezaji aniambie tuingie mkataba kila mwezi nikuletee bilioni moja kwa hayo mahoteli ,yako unazani nitafuga majizi niache hiyo bilioni moja?

Wabongo tukubaliane kila sehem tunayoachwa kuendesha wenyewe tunaishia kuiba na kufanya kazi kwa mazoea tu mwishowe tunapata hasara, angalia ATCL,TRC,TTCL,MWENDOKASI, Huku kote Seriali iendelee kuwapa wawekezaji heshima iwepo
Sawa muishimiwa🙂
 
435110670_446152774533417_3157679848822832572_n.jpg

wenyewe walijua ni rahaaa tu
 
Hizi taasisi zinahitaji mchanganyiko sana na watu mbalimbali haswa mataifa ya nje ili kupata exposure sio umbea umbea .

Unakuta "udhuru'' wa kutofika kazini kutwa watu wanaomba ,mtu akihisi mafua tu basi anachukua sick sheets anaenda kukaa home siku 3.a
 
Moja kati ya watu Ambao nlipinga sana kubinafsishwa kwa Bandari basi mimi ni mmojawao sikupenda kabisa huu mpango, Lakini nilipokaa na kukumbuka kipindi najitafuta nikiwa nafanya Vibarua Bandarini kabla sijapata ajira ya kudumu naona acha hiyo bandari waarabu waichukue wafanyakazi walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea sana

Moja kati ya mambo nliyokutana nayo ni waajiriwa kufanya kazi kwa mazoea na kujiskia kupitiliza na kuwa na zarau,pia waajiriwa walikuwa ni wavivu ,vibarua ndio tuliokuwa tunachapika

Supervisor anakuja kutoa maelekezo shift ya usiku alafu ikifika saa sita anatafuta chaka anaenda kulala hadi asubuhi anarudi pale berth alfajuri kuzuga kuchukua ripoti kwa vibarua alafu anasepa nyumbani yaani watu walifafanya kazi kwa mazoea

Mambo ya lunch time masaa ndio uspime, mizgo inajaa bandarini meli zinasongamana plus tetesi za upigaji hivi mlitegemea Seriakali ifanye nini

Hata kama ni mimi namiliki mahoteli naweka ndugu zangu wasimamie wanatumia hiyo nafasi,kufanya upigaji alafu kila mwezi naletewa hesabu milioni 200, alatu aje mwekezaji aniambie tuingie mkataba kila mwezi nikuletee bilioni moja kwa hayo mahoteli ,yako unazani nitafuga majizi niache hiyo bilioni moja?

Wabongo tukubaliane kila sehem tunayoachwa kuendesha wenyewe tunaishia kuiba na kufanya kazi kwa mazoea tu mwishowe tunapata hasara, angalia ATCL,TRC,TTCL,MWENDOKASI, Huku kote Seriali iendelee kuwapa wawekezaji heshima iwepo
Huo ndio ukweli wengi tuliofanikiwa kupitia kwenye huduma za bandari yetu tunaunga mkono ,ibinafsishwe ili tupate huduma bora huku serikali ikipata kodi na gawio lake ukibisha hili wewe ni mchawi tu
 
Moja kati ya watu Ambao nlipinga sana kubinafsishwa kwa Bandari basi mimi ni mmojawao sikupenda kabisa huu mpango, Lakini nilipokaa na kukumbuka kipindi najitafuta nikiwa nafanya Vibarua Bandarini kabla sijapata ajira ya kudumu naona acha hiyo bandari waarabu waichukue wafanyakazi walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea sana

Moja kati ya mambo nliyokutana nayo ni waajiriwa kufanya kazi kwa mazoea na kujiskia kupitiliza na kuwa na zarau,pia waajiriwa walikuwa ni wavivu ,vibarua ndio tuliokuwa tunachapika

Supervisor anakuja kutoa maelekezo shift ya usiku alafu ikifika saa sita anatafuta chaka anaenda kulala hadi asubuhi anarudi pale berth alfajuri kuzuga kuchukua ripoti kwa vibarua alafu anasepa nyumbani yaani watu walifafanya kazi kwa mazoea

Mambo ya lunch time masaa ndio uspime, mizgo inajaa bandarini meli zinasongamana plus tetesi za upigaji hivi mlitegemea Seriakali ifanye nini

Hata kama ni mimi namiliki mahoteli naweka ndugu zangu wasimamie wanatumia hiyo nafasi,kufanya upigaji alafu kila mwezi naletewa hesabu milioni 200, alatu aje mwekezaji aniambie tuingie mkataba kila mwezi nikuletee bilioni moja kwa hayo mahoteli ,yako unazani nitafuga majizi niache hiyo bilioni moja?

Wabongo tukubaliane kila sehem tunayoachwa kuendesha wenyewe tunaishia kuiba na kufanya kazi kwa mazoea tu mwishowe tunapata hasara, angalia ATCL,TRC,TTCL,MWENDOKASI, Huku kote Seriali iendelee kuwapa wawekezaji heshima iwepo
Walikua wanasema Vijana wajiajiri

Na wao wakajiajiri sasa,Upigaji ulikua mwingi sana bandarini
 
Huo ndio ukweli wengi tuliofanikiwa kupitia kwenye huduma za bandari yetu tunaunga mkono ,ibinafsishwe ili tupate huduma bora huku serikali ikipata kodi na gawio lake ukibisha hili wewe ni mchawi tu
Kweli kabisa
 
Moja kati ya watu Ambao nlipinga sana kubinafsishwa kwa Bandari basi mimi ni mmojawao sikupenda kabisa huu mpango, Lakini nilipokaa na kukumbuka kipindi najitafuta nikiwa nafanya Vibarua Bandarini kabla sijapata ajira ya kudumu naona acha hiyo bandari waarabu waichukue wafanyakazi walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea sana

Moja kati ya mambo nliyokutana nayo ni waajiriwa kufanya kazi kwa mazoea na kujiskia kupitiliza na kuwa na zarau,pia waajiriwa walikuwa ni wavivu ,vibarua ndio tuliokuwa tunachapika

Supervisor anakuja kutoa maelekezo shift ya usiku alafu ikifika saa sita anatafuta chaka anaenda kulala hadi asubuhi anarudi pale berth alfajuri kuzuga kuchukua ripoti kwa vibarua alafu anasepa nyumbani yaani watu walifafanya kazi kwa mazoea

Mambo ya lunch time masaa ndio uspime, mizgo inajaa bandarini meli zinasongamana plus tetesi za upigaji hivi mlitegemea Seriakali ifanye nini

Hata kama ni mimi namiliki mahoteli naweka ndugu zangu wasimamie wanatumia hiyo nafasi,kufanya upigaji alafu kila mwezi naletewa hesabu milioni 200, alatu aje mwekezaji aniambie tuingie mkataba kila mwezi nikuletee bilioni moja kwa hayo mahoteli ,yako unazani nitafuga majizi niache hiyo bilioni moja?

Wabongo tukubaliane kila sehem tunayoachwa kuendesha wenyewe tunaishia kuiba na kufanya kazi kwa mazoea tu mwishowe tunapata hasara, angalia ATCL,TRC,TTCL,MWENDOKASI, Huku kote Seriali iendelee kuwapa wawekezaji heshima iwepo
Kuitetea Tanzania inakupasa ubebe AIBU haswaa.

Watakuona hamnazo na kukugeuza kituko ilihali taabu ni ya kwao
 
Back
Top Bottom