Mitano tenaTunakoelekea kumiliki simu lazima uwe na kibali.
Tunakoelekea kumiliki simu lazima uwe na kibali.
Miaka ya 70,80 kumiliki Tv ilikuwa lazima uwe na kibali sheria nafikiri bado zipo hizo Sema hazifuatiliwiSio sim tu tunakoelekea hadi kuja mjini itakuwa na kibali maalum
Kama bei ya kijengea nyumba vilee.,haituhuuuSisi wenye gamba la kijani HAITUHUSU
Mbeleni ukinunua simu utatakiwa kuwa na kadi ya umiliki.Ulikuwa ukinunua Tv unapewa na kadi kama ya gari
Karibuni sana kwenye tanzania mpya jamani
Ova
Kabisa yaaniKama bei ya kijengea nyumba vilee.,haituhuuu
Mambo ya kuendekeza dhiki hatutaki.....Ulikuwa ukinunua Tv unapewa na kadi kama ya gari
Karibuni sana kwenye tanzania mpya jamani
Ova