Elections 2010 Wafanyabiashara tanzania ni mafisadi au hao hao ccm?

niweze

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
1,008
116
Tukitembelea Nchi Nyingi Duniani Tunaona Jinsi Gani Instutions Nyingi Katika Nchi Zao Zinavyofanya Kazi Lakini cha Kushangaza Tanzania Wafanya Biashara Hasa Wakubwa Kama Mengi Wanakula Sahani Moja na CCM. Kuna Mengi ya Kuuliza Hawa Wafanya Biashara Wananufaika na Chama cha CCM? Haya Makampuni Tunayaona Kila Mahali Tanzania Yanaonekana Wananchi Wengine na Wageni Wanayamiliki Kuna Uwezekano Mkubwa Mafisadi wa CCM Ndio Wanayamiliki. Mfanya Biashara Yeyote Yule Anayetaka Faida Safi na Nyeupe Siku Zote Anataka Business Nzuri na Uhusiano na Customers Wake Ila Huku Tanzania ni Tofauti. Wengi Wananchi Tulitegemea Wafanya Biashara Kama Mengi na Wengine Wangekuwa Upande wa Wapinzani Ili Kulazimisha Mabadiliko Tanzania. Hawa Wafanya Biashara Kama Kweli Wanafanya Biashara za Kweli Wangetaka Nchi Iwe na System Ambazo zina Transparency na Kuzuia Corruption. Wengi Watakueleze Jinsi Gani Ilivyo Ngumu Kufanya Biashara Yeyote Tanzania Bila Kuwahonga CCM. Mishahara Wanapata Lakini Wanataka Kula Mtaji Wako Wote na Kuumaliza Kabisa Hapo Bado Hawajakupa Leseni...Tanzania kwa Kifupi Hakuna Biashara Ila ni Ubabe Tu. Wananchi Tujue Moja Hakuna Investors Yeyote Waukweli Atakae Kuja Kuinvest Tanzania Katika Environment Kama Hii, Wengi Wanaitwa Investor ni Wale Wanataka Kutake Advantages na System Mbovu na Kusaini Deals za Wizi Migodini na Kununua Biashara Hewa Kama Tanesco. Tumuulize Lowasa, Mkapa, Chenge na Wengine Ilikuwaje Wakafanikiwa Sana Kutuibia Hizi Pesa?

"Wafanya Biashara Wote Tanzania Tunawafuata Nyie Sasa na Msipo Badilika Tutawaweka Kundi Hilo Hilo na CCM, Amkeni Muijenge Nchi Yenu"
 
Tukitembelea Nchi Nyingi Duniani Tunaona Jinsi Gani Instutions Nyingi Katika Nchi Zao Zinavyofanya Kazi Lakini cha Kushangaza Tanzania Wafanya Biashara Hasa Wakubwa Kama Mengi Wanakula Sahani Moja na CCM. Kuna Mengi ya Kuuliza Hawa Wafanya Biashara Wananufaika na Chama cha CCM? Haya Makampuni Tunayaona Kila Mahali Tanzania Yanaonekana Wananchi Wengine na Wageni Wanayamiliki Kuna Uwezekano Mkubwa Mafisadi wa CCM Ndio Wanayamiliki. Mfanya Biashara Yeyote Yule Anayetaka Faida Safi na Nyeupe Siku Zote Anataka Business Nzuri na Uhusiano na Customers Wake Ila Huku Tanzania ni Tofauti. Wengi Wananchi Tulitegemea Wafanya Biashara Kama Mengi na Wengine Wangekuwa Upande wa Wapinzani Ili Kulazimisha Mabadiliko Tanzania. Hawa Wafanya Biashara Kama Kweli Wanafanya Biashara za Kweli Wangetaka Nchi Iwe na System Ambazo zina Transparency na Kuzuia Corruption. Wengi Watakueleze Jinsi Gani Ilivyo Ngumu Kufanya Biashara Yeyote Tanzania Bila Kuwahonga CCM. Mishahara Wanapata Lakini Wanataka Kula Mtaji Wako Wote na Kuumaliza Kabisa Hapo Bado Hawajakupa Leseni...Tanzania kwa Kifupi Hakuna Biashara Ila ni Ubabe Tu. Wananchi Tujue Moja Hakuna Investors Yeyote Waukweli Atakae Kuja Kuinvest Tanzania Katika Environment Kama Hii, Wengi Wanaitwa Investor ni Wale Wanataka Kutake Advantages na System Mbovu na Kusaini Deals za Wizi Migodini na Kununua Biashara Hewa Kama Tanesco. Tumuulize Lowasa, Mkapa, Chenge na Wengine Ilikuwaje Wakafanikiwa Sana Kutuibia Hizi Pesa?

"Wafanya Biashara Wote Tanzania Tunawafuata Nyie Sasa na Msipo Badilika Tutawaweka Kundi Hilo Hilo na CCM, Amkeni Muijenge Nchi Yenu"

Utamlaumu kila mtu lakini hii nchi kila mtu ni fisadi. Hawa viongozi ni wawakilishi tu wa tabia za jamii wanayoiongoza. Ni uendawazimu kutarajia viongozi wa CCM walioingia madarakani kwa rushwa wapambane na rushwa. Hii itakuwa ni sawa na kukata tawi la mti ulioukalia. Vivyo hivyo siyo rahisi kwa CCM kubadilisha Katiba iliyopo kwa hii katiba ndiyo imeweka msingi wa rushwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom