MKONGA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 667
- 458
Wafanyabiashara wanagoma nchi nzima.
Kwanini Serikali isikae na wafanyabiashara wakazungumza na kufikia muafaka au mpaka waje wamarekani na umoja wa Ulaya waje waishauri Serikali kama wanavyofanya Sudani na Somalia?
Yangu macho ngoja nitizame mchezo unavyochezwa.
Kwanini Serikali isikae na wafanyabiashara wakazungumza na kufikia muafaka au mpaka waje wamarekani na umoja wa Ulaya waje waishauri Serikali kama wanavyofanya Sudani na Somalia?
Yangu macho ngoja nitizame mchezo unavyochezwa.