Wafanyabiashara iringa mshitakini msigwa mahakamani

Wafanyabiashara iringa mshitakini msigwa mahakamani

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,900
Reaction score
52,033
Chama cha wafanyabiashara mkoa wa Iringa ni wakati muafaka wa kumshtaki MSIGWA mahakamani kwa kuendesha kampeni ya watu kutonunua bidhaa za mfanyabiashara mmojawapo ambaye ni mwanachama wa chama cha wafanyabiashara.Nendeni mahakamani na mmudai fidia.Na kuanzia jana aliposema anzeni kupiga hesabu ya hasara itakayokuwa imepatikana kila siku ili mmdai fidia kwa hasara iliyotokana na hasara iliyopatikana kibiashara kwa tamko lake.

Mawakili Iringa bebeni hiyo kesi hata bure akishashindwa hiyo kesi Msigwa malipo atakayolipa Msigwa mtakata gharama zenu.
 
Sasa wamshitaki kwa kumharibia mfanyabiashara invisible?
 
Mimi nashangaaa sana sana, watu wa Dini wanapiga kampeni baaada wafunge maombi kimyakimya Mungu atoe kiongozi bora. Sass wenyewe so as a . So it so pain , tunaenda wapi wapo tu kimaslai tu. It 's shows that imani inapotea ya waumini kuuamini wachungaji. Jamaaan wardu kwenye maombi
 
Sasa wamshitaki kwa kumharibia mfanyabiashara invisible?

Ndio maana nikasema chama cha wafanyabiashara.Huko mahakamani yeye ndiye atashinikizwa amtaje.Vinginevyo ahesabike alimaanisha wafanyabiashara wote
 
Ndio maana nikasema chama cha wafanyabiashara.Huko mahakamani yeye ndiye atashinikizwa amtaje.Vinginevyo ahesabike alimaanisha wafanyabiashara wote

Kwa hiyo mahakama sikuhizi zinashinikiza watuhumiwa kusema ambacho hawakukisema?

Na kwa kuwa alisema "kunamfanyabiashara mkubwa" je mahakama itamuhesabia kuwa ni wafanya biashara wote?

Ha ha ha jipange!
 
Back
Top Bottom