joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Habari wanabodi.
Wadau bila kupoteza muda nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu zile tetesi za Mo kutaka kuondoka katika club ya Simba. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. kiukweli nilifurahi sana niliposikia zile tetesi kwamba MO anaondoka katika club ya simba.
Karibuni wanabodi.
Karibuni.
Wadau bila kupoteza muda nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu zile tetesi za Mo kutaka kuondoka katika club ya Simba. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. kiukweli nilifurahi sana niliposikia zile tetesi kwamba MO anaondoka katika club ya simba.
Karibuni wanabodi.
Karibuni.