Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 969
- 1,243
Samahani wewe ni mwalimu??Hii mada ni nzuri kama walimu zaid watachangia.Nakubaliana wewe ni kweli elimu sio majengo.
Ninachoongelea Mimi ni mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye sekta ya elimu KWA sasa. Inawezekana ukawa huna taarifa za kutosha lakini yapo mengi.
Kwa ufupi tayari wizara inafanya mapitio na baadhi ya mabadiliko yameshaanza kufanyika ikiwemo mafunzo kwa makundi tofauti ya walimu ili wawe tayari kuyapokea mabadiliko.
Fanya research yako leo hii kwenye universities tofauti tofauti unawakuta walimu wa shule za msingi za serikali wakinolewa sawasawa
Tutegemee mabadiliko makubwa sana kwa Maendeleo ya sekta ya elimu na afya tanzania
Cc mugah di mathew