Wadau wa elimu zile shule zetu za serikali na vipaji umaarufu umeenda wapi!? Why?

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,738
35,155
Watanzania wenzangu sijui tunaelekea wapi!
TULIKUA NA SHULE NZURI SANA TENA NYINGINE ZA VIPAJI MAALUM......
nazikumbuka shule za wasichana za WERUWERU, TABORA, ASHIRA, MACHAME, KILAKALA, LOLEZA nk.
wavulana SOMGEA BOYS, TABORA, UMBWE, LYAMUNGO, TANGA, MOSHI, MOSHI TECH nk.
Inasikitisha sana kwa kweli kuona wizara ya elimu imezidharau na kuzisahau...... mawaziri wengi na wabunge Pia viongozi wa NCHI HII elimu yenu mliipata huko na ilkua nzuri ndo maana mko hapo mlipo!!!!!!!!!!!!!!
Sana na imewafanaya muwe mlipo sasa,,,,,,,,,SASA MMESHIRIKIANA KUSHUSHA VIWANGO VYAKE BAADA YA HAPO MMEANZISHA SHULE ZENU BINAFSI AMBAZO ADA ZAKE NI MAMILION YA PESA AMBAKO MNAPELEKA WATOTO WENU!!
TENA WENGINE HATA HAMWASOMESHI HAPA eti mnawapeleka nje ya nchi.
Hivi hamoni aibu??? mmelaaniwa??? kwa kweli tukifika hapa namkumbuka sana baba wa taifa japo alikufa nikiwa bado mwanafunzi wa sekondari.......... KAMA MMESHINDWA KAZI ACHENI KULIKO HIKI KITENDO MNACHOFANYA CHA KUTURUDISHA KULE MWALIM ALIKOTUTOA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Dah hii thread ya zamani sanaa
@mama D kumbe upo siku nyingi, hii hoja yako ilikua ya msingi sana na serikali imeifanyia kazi awamu hii wamezikumbuka na kuzikarabati shule hizi, nyingi zilikua na hali mbaya na miundombinu yake ilichoka sana hakukua na mazingira bora ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@mama D kumbe upo siku nyingi, hii hoja yako ilikua ya msingi sana na serikali imeifanyia kazi awamu hii wamezikumbuka na kuzikarabati shule hizi, nyingi zilikua na hali mbaya na miundombinu yake ilichoka sana hakukua na mazingira bora ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu ilikua mbaya sana kwa kweli. Na itachukua muda kurudi kwenye ubora
 
Watanzania wenzangu sijui tunaelekea wapi!
TULIKUA NA SHULE NZURI SANA TENA NYINGINE ZA VIPAJI MAALUM......
nazikumbuka shule za wasichana za WERUWERU, TABORA, ASHIRA, MACHAME, KILAKALA, LOLEZA nk.
wavulana SOMGEA BOYS, TABORA, UMBWE, LYAMUNGO, TANGA, MOSHI, MOSHI TECH nk.
Inasikitisha sana kwa kweli kuona wizara ya elimu imezidharau na kuzisahau...... mawaziri wengi na wabunge Pia viongozi wa NCHI HII elimu yenu mliipata huko na ilkua nzuri ndo maana mko hapo mlipo!!!!!!!!!!!!!!
Sana na imewafanaya muwe mlipo sasa,,,,,,,,,SASA MMESHIRIKIANA KUSHUSHA VIWANGO VYAKE BAADA YA HAPO MMEANZISHA SHULE ZENU BINAFSI AMBAZO ADA ZAKE NI MAMILION YA PESA AMBAKO MNAPELEKA WATOTO WENU!!
TENA WENGINE HATA HAMWASOMESHI HAPA eti mnawapeleka nje ya nchi.
Hivi hamoni aibu??? mmelaaniwa??? kwa kweli tukifika hapa namkumbuka sana baba wa taifa japo alikufa nikiwa bado mwanafunzi wa sekondari.......... KAMA MMESHINDWA KAZI ACHENI KULIKO HIKI KITENDO MNACHOFANYA CHA KUTURUDISHA KULE MWALIM ALIKOTUTOA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Umeongea kitu njema
@mama D kumbe upo siku nyingi, hii hoja yako ilikua ya msingi sana na serikali imeifanyia kazi awamu hii wamezikumbuka na kuzikarabati shule hizi, nyingi zilikua na hali mbaya na miundombinu yake ilichoka sana hakukua na mazingira bora ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app




HUU UZI NILIUPOST JANUARY 25, 2011

KILIKUA KILIO CHA WATANZANIA WENGI MIAKA MINGI.... LEO TUMEPATA WA KUTUFUTA MACHOZI.





Wakati namaliza std7 ilikua ni sifa njema sana kupangiwa shule za serikali tena hata zile za vipaji maalum. Private schools zilikuepo kwa upande wa secondary schools tuu tena nyingi zikiwa ni za mashirika ya dini na za Jumuiya ya wazazi. Lengo la hizi private schools chache ilikua kusaidia wale waliokosa nafasi wengi wao wakiwa na ufaulu wa wastani

Miaka ilivyozidi kwenda private secondary schools ziliongezeka kwa kasi; nursery na primary schools nazo ziliongezeka kwa kasi ya ajabu.

Elimu kwa upande wa shule zote za serikali ulishuka, walimu walidharaulika na kunyimwa vipaumbele, mitaala ya elimu kwa shule za msingi hadi form6 iliharibiwa, mazingira ya kufundishia yalikua magumu sana na hata vifaa vya kufundishia havikupatikana.....

Matokeo yake walimu wataalamu wengi katika kada ya elimu waliamua kuondoka either kwenda kusomea vitu vingine au kufanya kazi zingine. Kitu kilichofanya shule za serikali kupoteza mvuto sababu ya ufaulu hafifu, na kimbilio pekee kwa wazazi wenye uwezo likawa ni shule binafsi zenye ada kubwa za kutisha huku wale wasiojiweza wakiwaacha watoto wao kwenda kwenye shule za serikali ambapo mwisho wa siku wengi wao wakiishia kupata ufaulu hafifu.

Nafarijika sana kuwa hai hadi siku hadi awamu ya pili ya rais John Pombe Joseph Magufuli. Nafarijika sana kwa mageuzi makubwa yanayoendelea kwenye elimu yetu. Kutengeneza mfumo sio kazi rahisi lakini kama alivyofanikiwa kwa usafiri wa train, kwenye meli na vivuko, kwenye usafiri wa anga, barabara, atafanikiwa pia kwenye afya na elimu

Mungu akulinde rais wetu, akubariki na kukuongoza katika mipango ya nchi yetu. Mungu atubariki watanzania na aibariki nchi yetu🙏
 
HUU UZI NILIUPOST JANUARY 25, 2011

KILIKUA KILIO CHA WATANZANIA WENGI MIAKA MINGI.... LEO TUMEPATA WA KUTUFUTA MACHOZI.





Wakati namaliza std7 ilikua ni sifa njema sana kupangiwa shule za serikali tena hata zile za vipaji maalum. Private schools zilikuepo kwa upande wa secondary schools tuu tena nyingi zikiwa ni za mashirika ya dini na za Jumuiya ya wazazi. Lengo la hizi private schools chache ilikua kusaidia wale waliokosa nafasi wengi wao wakiwa na ufaulu wa wastani

Miaka ilivyozidi kwenda private secondary schools ziliongezeka kwa kasi; nursery na primary schools nazo ziliongezeka kwa kasi ya ajabu.

Elimu kwa upande wa shule zote za serikali ulishuka, walimu walidharaulika na kunyimwa vipaumbele, mitaala ya elimu kwa shule za msingi hadi form6 iliharibiwa, mazingira ya kufundishia yalikua magumu sana na hata vifaa vya kufundishia havikupatikana.....

Matokeo yake walimu wataalamu wengi katika kada ya elimu waliamua kuondoka either kwenda kusomea vitu vingine au kufanya kazi zingine. Kitu kilichofanya shule za serikali kupoteza mvuto sababu ya ufaulu hafifu, na kimbilio pekee kwa wazazi wenye uwezo likawa ni shule binafsi zenye ada kubwa za kutisha huku wale wasiojiweza wakiwaacha watoto wao kwenda kwenye shule za serikali ambapo mwisho wa siku wengi wao wakiishia kupata ufaulu hafifu.

Nafarijika sana kuwa hai hadi siku hadi awamu ya pili ya rais John Pombe Joseph Magufuli. Nafarijika sana kwa mageuzi makubwa yanayoendelea kwenye elimu yetu. Kutengeneza mfumo sio kazi rahisi lakini kama alivyofanikiwa kwa usafiri wa train, kwenye meli na vivuko, kwenye usafiri wa anga, barabara, atafanikiwa pia kwenye afya na elimu

Mungu akulinde rais wetu, akubariki na kukuongoza katika mipango ya nchi yetu. Mungu atubariki watanzania na aibariki nchi yetu🙏
Hongera kwa kuona na kutambua juhudi kubwa zilizofanyika kipindi hiki katika suala la kuboresha miundombinu ya elimu hususani kwa shule Kongwe jambo lililosahaulika muda mrefu

Ni kweli shule kongwe zilisahaulika sana na miundombinu yake ilichakaa sana shule nyingi tangu zimejengwa hazikuwahi kukarabatiwa na nyingi hazikua zikikidhi mahitaji ya sasa serikali ya awamu hii imefanya juhudi kubwa sana ya kukarabati shule karibu zote kongwe
 
Unasifu na kuabudu

Sijasifu na kuabudu, ila nauona ukweli niliokua nautafuta kwa miaka mingi

Kuna mabadiliko chanya mengi sana. Mabadiliko yanayogusu maisha ya watanzania walio wengi, watanzania waliokua hawana wa kuwasikiliza kama mimi hapa
 
Sijasifu na kuabudu, ila nauona ukweli niliokua nautafuta kwa miaka mingi

Kuna mabadiliko chanya mengi sana. Mabadiliko yanayogusu maisha ya watanzania walio wengi, watanzania waliokua hawana wa kuwasikiliza kama mimi hapa
To be honest, mabadiliko ni madogo mno. Kama ukizungumzia mabadiliko makubwa kwa sababu ya majengo! Nasikitika kukuambia Kwamba majengo yana mchango mdogo sana kwenye ufaulu na taaluma bora kwa wanafunzi. Elimu sio majengo

Bado walimu kwenye shule zetu za serikali ni wa kusua sua. Majengo ya maabara sawa yapo lakini hakuna hao wa kufanya matumizi yake yafikie hata robo ya lengo. Achilia mbali kwamba vifaa vya maabara bado ni tatizo.

Ninacholenga ni kwamba, elimu ni zaidi ya majengo. Shule za serikali bado zinaua ndoto za wanafunzi wengi. Walimu hawako motivated enough... Tena ndo kwanza wanawaambia wanafunzi maneno ya kuwakatisha tamaa na kuwajengea mentality za kufeli.

Binafsi, nisingehamia private leo hii malengo yangu yangebaki kuwa ndoto tu. Na ambao niliwaacha (walikuwa na maendeleo mazuri kitaaluma kuliko mimi) yamewakuta ya kuwakuta. Hakuna jambo kubwa sana alilofanya huyo rais wetu kama unavyomsifu
 
Sijasifu na kuabudu, ila nauona ukweli niliokua nautafuta kwa miaka mingi

Kuna mabadiliko chanya mengi sana. Mabadiliko yanayogusu maisha ya watanzania walio wengi, watanzania waliokua hawana wa kuwasikiliza kama mimi hapa
Dada angu nakupenda sana ila hapo ndio Ccm huwa mnachemka
Mmedeal na kujenga madarasa na mabwen japo nako hayatoshi
Ila mnakwepa jukumu kubwa la kuwekeza kwenye watu.

Ili elimu iwe bora nakuleta matokeo chanya ni lazima izingatie
1.Ubora wa mtaala wa elimu
2.Nyenzo za kujifunzia mfn vitabu ,vifaa vya maabara nk
3.Mazingira ya kujifunzia,mfn madarasa na mandhari ya shule, ubora wa ubao mfano
4.Idadi ya wafanyakazi /wakufunzi
5.Ubora wa wakufunzi /waalimu
6.Unafuu wa elimu
7.Matarajio na madhumuni ya elimu
 
To be honest, mabadiliko ni madogo mno. Kama ukizungumzia mabadiliko makubwa kwa sababu ya majengo! Nasikitika kukuambia Kwamba majengo yana mchango mdogo sana kwenye ufaulu na taaluma bora kwa wanafunzi. Elimu sio majengo

Bado walimu kwenye shule zetu za serikali ni wa kusua sua. Majengo ya maabara sawa yapo lakini hakuna hao wa kufanya matumizi yake yafikie hata robo ya lengo. Achilia mbali kwamba vifaa vya maabara bado ni tatizo.

Ninacholenga ni kwamba, elimu ni zaidi ya majengo. Shule za serikali bado zinaua ndoto za wanafunzi wengi. Walimu hawako motivated enough... Tena ndo kwanza wanawaambia wanafunzi maneno ya kuwakatisha tamaa na kuwajengea mentality za kufeli.

Binafsi, nisingehamia private leo hii malengo yangu yangebaki kuwa ndoto tu. Na ambao niliwaacha (walikuwa na maendeleo mazuri kitaaluma kuliko mimi) yamewakuta ya kuwakuta. Hakuna jambo kubwa sana alilofanya huyo rais wetu kama unavyomsifu

Nakubaliana wewe ni kweli elimu sio majengo.

Ninachoongelea Mimi ni mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye sekta ya elimu KWA sasa. Inawezekana ukawa huna taarifa za kutosha lakini yapo mengi.

Kwa ufupi tayari wizara inafanya mapitio na baadhi ya mabadiliko yameshaanza kufanyika ikiwemo mafunzo kwa makundi tofauti ya walimu ili wawe tayari kuyapokea mabadiliko.

Fanya research yako leo hii kwenye universities tofauti tofauti unawakuta walimu wa shule za msingi za serikali wakinolewa sawasawa

Tutegemee mabadiliko makubwa sana kwa Maendeleo ya sekta ya elimu na afya tanzania

Cc mugah di mathew
 
Dada angu nakupenda sana ila hapo ndio Ccm huwa mnachemka
Mmedeal na kujenga madarasa na mabwen japo nako hayatoshi
Ila mnakwepa jukumu kubwa la kuwekeza kwenye watu.

Ili elimu iwe bora nakuleta matokeo chanya ni lazima izingatie
1.Ubora wa mtaala wa elimu
2.Nyenzo za kujifunzia mfn vitabu ,vifaa vya maabara nk
3.Mazingira ya kujifunzia,mfn madarasa na mandhari ya shule, ubora wa ubao mfano
4.Idadi ya wafanyakazi /wakufunzi
5.Ubora wa wakufunzi /waalimu
6.Unafuu wa elimu
7.Matarajio na madhumuni ya elimu
Nakubaliana wewe ni kweli elimu sio majengo.

Ninachoongelea Mimi ni mabadiliko makubwa yanayofanyika kwenye sekta ya elimu KWA sasa. Inawezekana ukawa huna taarifa za kutosha lakini yapo mengi.

Kwa ufupi tayari wizara inafanya mapitio na baadhi ya mabadiliko yameshaanza kufanyika ikiwemo mafunzo kwa makundi tofauti ya walimu ili wawe tayari kuyapokea mabadiliko.

Fanya research yako leo hii kwenye universities tofauti tofauti unawakuta walimu wa shule za msingi za serikali wakinolewa sawasawa

Tutegemee mabadiliko makubwa sana kwa Maendeleo ya sekta ya elimu na afya tanzania

Cc mugah di mathew
 
Hizo university zipo hovyo kabisa

Mfano,nenda udom ukaone ambapo utafanikiwa kuona degree anafundisha degree mwenzie

Kuhusu elimu inabidi aje mtu mpya kabisa tubadilishe mfumo wa elimu ikiwemo kulipa maslahi mazuri kwa mwalimu
Tubadilishe mtaala wa elimu uendane na elimu ya Leo .
Mfano kila shule ya secondary iwe na computer lab angalau ya computer 50,wanafunzi wa form 1&2 wajifunze common skills
Wakifika form 3 wale wanaochukua masomo ya science waanze kujifunza programing
Wale wa art nao wajifunze art skills by computer using
Wa biashara nako wajifunze kutumia computer kwa shughuli zao

Yapo mengi tatizo la hii nchi haitambui kuwa tupo karne ya 21 ,wanafunzi wanatakiwa wawe na skills za kujiajiri au kuajiriwa popote duniani
 
Hizo university zipo hovyo kabisa

Mfano,nenda udom ukaone ambapo utafanikiwa kuona degree anafundisha degree mwenzie

Kuhusu elimu inabidi aje mtu mpya kabisa tubadilishe mfumo wa elimu ikiwemo kulipa maslahi mazuri kwa mwalimu
Tubadilishe mtaala wa elimu uendane na elimu ya Leo .
Mfano kila shule ya secondary iwe na computer lab angalau ya computer 50,wanafunzi wa form 1&2 wajifunze common skills
Wakifika form 3 wale wanaochukua masomo ya science waanze kujifunza programing
Wale wa art nao wajifunze art skills by computer using
Wa biashara nako wajifunze kutumia computer kwa shughuli zao

Yapo mengi tatizo la hii nchi haitambui kuwa tupo karne ya 21 ,wanafunzi wanatakiwa wawe na skills za kujiajiri au kuajiriwa popote duniani

Sasa mbona unalaumu vitu ambavyo hata hujakutana navyo ukavifanyia assessment??

Hayo ya mahala, labs za masomo ya sayansi na computer ikiwemo yote yapo kwenye mpango.... unataka vyote vikamilike sasaivi?

Hii nchi ina watu makini wanaofanya kazi zao kwa ueledi, tujifunze kuona mazuri yanayofanyika hata kama wanaofanya tunatofautiana katika misimamo ya kisiasa
 
Sasa mbona unalaumu vitu ambavyo hata hujakutana navyo ukavifanyia assessment??

Hayo ya mahala, labs za masomo ya sayansi na computer ikiwemo yote yapo kwenye mpango.... unataka vyote vikamilike sasaivi?

Hii nchi ina watu makini wanaofanya kazi zao kwa ueledi, tujifunze kuona mazuri yanayofanyika hata kama wanaofanya tunatofautiana katika misimamo ya kisiasa
Angekuwa kiongozi makini kama nyerere angeweka pending SGR na bombadiar ili tudeal kwanza na elimu.
Leo tungekuwa na elimu tungekuwa mbali sana
 
Angekuwa kiongozi makini kama nyerere angeweka pending SGR na bombadiar ili tudeal kwanza na elimu.
Leo tungekuwa na elimu tungekuwa mbali sana
Sidhani kama SGR na BOMBADIAR zimekwamisha sekta ya elimu

Ninachojua Kubadilisha mfumo haswa mfumo wenye wadau wengi kama you wa elimu sio kitu cha siku moja. Inahitaji maandalizi makini ya kitaalamu na ya kutosha kuhakikisha kila kitu kipo sehemu yake kabla ya kusema sasa tunahamia huku

Kikubwa kazi ilishaanza
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom