mkuu mimi nina nyumba chakavu katika 2 moja ipo kinondoni shamba eneo lina ukubwa wa m30 kwa 15, eneo limejengwa nyumba ya vyumba 13 na bei ni 35m mazungumzo yapo, pia nina nyumba ipo kinondoni moscow ina vyumba 4 . bei 22m, maeneo yote hayo gari zinafika mpakaa mlangoni. nipigie 0657 145555