wadau nyumba ya kununua manzese ni sh. ngapi?

MARILYN

Member
Feb 23, 2011
96
15
wadau naomba mnisaidie eti nyumba ya kunua manzese maeneo ya tiptop upande ule mabibo ni sh ngapi?
 
sidhan kama utapata jib hapa.

nyumba ya aina gan, ukubwa, status nk weka wazi au picha ili wadau wakufanyie estimation
 
Jibu la swali lako jaribu kwa wapiga ramli watakusaidia ndugu.
 
mkuu mimi nina nyumba chakavu katika 2 moja ipo kinondoni shamba eneo lina ukubwa wa m30 kwa 15, eneo limejengwa nyumba ya vyumba 13 na bei ni 35m mazungumzo yapo, pia nina nyumba ipo kinondoni moscow ina vyumba 4 . bei 22m, maeneo yote hayo gari zinafika mpakaa mlangoni. nipigie 0657 145555
 
manzese utapata kwa bei rahisi..ila mupunga mwingine utaulipa baadae ukihamua kwa style ya kabali na uvamizi....best of luck
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom