Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kuwa mkali. one two one two...
Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kua mkali. one two one two...
Yani nakula bila shaka na ugomvi unaanza upya au unaendelea tulipoishia kabla ya kula, tunda na ugomvi mbalimbali havina uhusiano! Hiyo ni haki yangu ya kibiolojia na ugomvi solution yake tofauti kabisa!😎😎
Yani nakula bila shaka na ugomvi unaanza upya au unaendelea tulipoishia kabla ya kula, tunda na ugomvi mbalimbali havina uhusiano! Hiyo ni haki yangu ya kibiolojia na ugomvi solution yake tofauti kabisa!😎😎
Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kuwa mkali. one two one two...
Kumbe ni hasira? So ukishakula na solution ya ugomvi inakua autosolved? Au hasira tu bila kosa? Itakua tantrums basi au hasira za kitoto zisizo na sababu, achana nazo samehe endelea kujihudumia