Wadau nikomae au niusikilize mwili?

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
783
Reaction score
3,665
Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kuwa mkali. one two one two...
 
Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kua mkali. one two one two...
Yani nakula bila shaka na ugomvi unaanza upya au unaendelea tulipoishia kabla ya kula, tunda na ugomvi mbalimbali havina uhusiano! Hiyo ni haki yangu ya kibiolojia na ugomvi solution yake tofauti kabisa!😎😎
 
Nimegombana na mke wangu, ni kama tumekaushiana hapa ndani ila sasa nataka tunda, najua nikiomba sitakataliwa ila itaondoa uzito wa makosa yake na baada ya hapo nitakosa nguvu ya kuwa mkali. one two one two...
Wewe wa hovyo sana, tunda lina uhusiano gani na ugomvi? Kwanzw nyege zikiisha ndo unagombana vizuri. Malizaneni kwanza ndo mtatue ugomvi mkiwa hamna hasira maana hasira haitendi haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…