Wadau msaada gari inashida

BOFREE

JF-Expert Member
Mar 1, 2012
985
1,298
wakuu naomba msaada wa kujua tatizo ninagari yangu Toyota sienta inakula mafuta hlf bahati mbaya fuel gauge kwenye dashboard ukiweka mafuta haipandi wala kushuka inaonyeshaa bar moja tu hata uweke mafuta vipi bahati mbaya inasababisha gari kuishiwa mafuta bila kujua.
 
Boya la pump limeharibika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…