BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 984
- 1,285
wakuu naomba msaada wa kujua tatizo ninagari yangu Toyota sienta inakula mafuta hlf bahati mbaya fuel gauge kwenye dashboard ukiweka mafuta haipandi wala kushuka inaonyeshaa bar moja tu hata uweke mafuta vipi bahati mbaya inasababisha gari kuishiwa mafuta bila kujua.