Wadau jiepusheni na wauzaji wa "no test"

Shida na raha

JF-Expert Member
Aug 8, 2014
3,773
3,471
Nimeona niwamegee kidogo hiki kitu wasioelewa wapate kuelewa.

Leo nimekutana na simu inayouzwa 70,000/= bei za kawaida, lakini kwasababu ya "no test" ilikua inauzwa 4000/= kwa haraka haraka ni bei za kutupa, sikuwa na nguvu hata ya kuinunua.

Kawaida wauzaji wa vitu vya "no test" hilo neno linakuhusu wewe, lakini mwenye kuuza hawezi kukuuzia bei niliyoitaja iwapo kama ana nia ya kukusaidia, ujuwe ameshagundua udhaifu wa kitu hicho.

Kibongo bongo wanaita vimeo, kizanzibar wametunga jina jipya wanaita muwa.
 
Simu ya 4000...

Mie nakumbuka niliwahi uziwa simu ya hivyo... pale Ubungo nilitoa 10,000 kipindi hiko...

Wakasema nikifika nyumbanj niiachaji naanza matumizi.. kipindi hiko ndio ninemaliza form 6.. njian nikawa nawasha haiwaki nikasema wamesema niichaji.. hapo nipo excited mbaya... naona ka daladala halitembei nifike nyumbani nianze kutumia simu bomba

Kufika home chaji na kuichaji wapi... washa haiwaki.. nakaa masaa fulani naamka kuicheki wapi... ikabidi nidanganye nyumbani kuwa nimeokota kwenye daladala maana ilikua ni aibu ningewaambia wangenicheka sana.. mama hadi akasema ungempa tu mwenye simu yake... niliumia mbaya elfu 10 yangu.
 
Kifaa cha elfu70 kikauzwe elfu4 huoni wewe unafanywa pipa la taka.
 
Em' soma tena wewe mwenyewe alafu tuambie kama umeelewa ulichokiandika

Nimesema elfu 70 ila kwasasa zimekua nyingi pale darajani Zanzibar kwenye mnada, hiyo bei ya zamani kwasasa wanakuuzi 50 au 45 inategemea na utakavyojipeleka.
 
Simu ya 4000...

Mie nakumbuka niliwahi uziwa simu ya hivyo... pale Ubungo nilitoa 10,000 kipindi hiko...

Wakasema nikifika nyumbanj niiachaji naanza matumizi.. kipindi hiko ndio ninemaliza form 6.. njian nikawa nawasha haiwaki nikasema wamesema niichaji.. hapo nipo excited mbaya... naona ka daladala halitembei nifike nyumbani nianze kutumia simu bomba

Kufika home chaji na kuichaji wapi... washa haiwaki.. nakaa masaa fulani naamka kuicheki wapi... ikabidi nidanganye nyumbani kuwa nimeokota kwenye daladala maana ilikua ni aibu ningewaambia wangenicheka sana.. mama hadi akasema ungempa tu mwenye simu yake... niliumia mbaya elfu 10 yangu.

Hahah pole...
 
mimi simu ya mkononi huniuzii hata kwa sh. 100/ nenda maduka ya kuaminika hasa makampuni ya simu ninanunua simu na warant ya maandishi siyo hivo vimio vya njiani ,mnapenda dezodezo tulieni na poleni sanaaaaa
 
Simu ya 4000...

Mie nakumbuka niliwahi uziwa simu ya hivyo... pale Ubungo nilitoa 10,000 kipindi hiko...

Wakasema nikifika nyumbanj niiachaji naanza matumizi.. kipindi hiko ndio ninemaliza form 6.. njian nikawa nawasha haiwaki nikasema wamesema niichaji.. hapo nipo excited mbaya... naona ka daladala halitembei nifike nyumbani nianze kutumia simu bomba

Kufika home chaji na kuichaji wapi... washa haiwaki.. nakaa masaa fulani naamka kuicheki wapi... ikabidi nidanganye nyumbani kuwa nimeokota kwenye daladala maana ilikua ni aibu ningewaambia wangenicheka sana.. mama hadi akasema ungempa tu mwenye simu yake... niliumia mbaya elfu 10 yangu.


Uwahi kufika Home ili utumie Simu bomba!!?? Simu bomba toka lini ikauzwa kwa elfu 10 ? Mimi naona hapo hujaibiwa bali umejiibia wewe mwenyewe! Utanunuaje simu bila kuijaribu?
 
Simu ya 4000...

Mie nakumbuka niliwahi uziwa simu ya hivyo... pale Ubungo nilitoa 10,000 kipindi hiko...

Wakasema nikifika nyumbanj niiachaji naanza matumizi.. kipindi hiko ndio ninemaliza form 6.. njian nikawa nawasha haiwaki nikasema wamesema niichaji.. hapo nipo excited mbaya... naona ka daladala halitembei nifike nyumbani nianze kutumia simu bomba

Kufika home chaji na kuichaji wapi... washa haiwaki.. nakaa masaa fulani naamka kuicheki wapi... ikabidi nidanganye nyumbani kuwa nimeokota kwenye daladala maana ilikua ni aibu ningewaambia wangenicheka sana.. mama hadi akasema ungempa tu mwenye simu yake... niliumia mbaya elfu 10 yangu.

Huo ulikuwa mwaka gani vile??
 
hahaha umenikumbusha mbali nami iliwahi nitokea nikiwa form 5

Mwenzako Heaven on Earth amesema ilimtokea akiwa form 6 wewe imekutokea ukiwa form 5

Sijui na mimi niseme ilinitokea wakati nipo University! Naona ndio fasheni mpya imeingia ya kutaja elimu zenu...Hahahaaa!!😅😂
 
Uwahi kufika Home ili utumie Simu bomba!!?? Simu bomba toka lini ikauzwa kwa elfu 10 ? Mimi naona hapo hujaibiwa bali umejiibia wewe mwenyewe! Utanunuaje simu bila kuijaribu?

kwa kipindi hicho hiyo simu ilikua bomba............

ndio kutokujua nikaishiwa kuibiwa
 
Watu kwa kukuza mambo hamjambo,mnatolea macho tuvitu tudogooooo
Mwenzako Heaven on Earth amesema ilimtokea akiwa form 6 wewe imekutokea ukiwa form 5

Sijui na mimi niseme ilinitokea wakati nipo University! Naona ndio fasheni mpya imeingia ya kutaja elimu zenu...Hahahaaa!!😅😂
 
Mwenzako Heaven on Earth amesema ilimtokea akiwa form 6 wewe imekutokea ukiwa form 5

Sijui na mimi niseme ilinitokea wakati nipo University! Naona ndio fasheni mpya imeingia ya kutaja elimu zenu...Hahahaaa!!😅😂
Du, Mkuu mimi hii imenitokea live nikiwa naingia nursery mwaka huooo! Dah, ilikuwa balaaa!
 
Simu ya 4000...

Mie nakumbuka niliwahi uziwa simu ya hivyo... pale Ubungo nilitoa 10,000 kipindi hiko...

Wakasema nikifika nyumbanj niiachaji naanza matumizi.. kipindi hiko ndio ninemaliza form 6.. njian nikawa nawasha haiwaki nikasema wamesema niichaji.. hapo nipo excited mbaya... naona ka daladala halitembei nifike nyumbani nianze kutumia simu bomba

Kufika home chaji na kuichaji wapi... washa haiwaki.. nakaa masaa fulani naamka kuicheki wapi... ikabidi nidanganye nyumbani kuwa nimeokota kwenye daladala maana ilikua ni aibu ningewaambia wangenicheka sana.. mama hadi akasema ungempa tu mwenye simu yake... niliumia mbaya elfu 10 yangu.


Pole...!
 
Back
Top Bottom