wadau interview za ticts zimekaaje?nimeitwa.nipeni hints!

wadau interview za ticts zimekaaje?nimeitwa.nipeni hints!

magessa78

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2009
Posts
270
Reaction score
31
wadau,
nimeitwa interview ticts.mwenye clue yoyote kuhusu interview system ya pale atupie humu.hawakunambia chochote zaidi ya neno interview tu sasa sijui ni aptitude au oral n.k.
 
wadau,
nimeitwa interview ticts.mwenye clue yoyote kuhusu interview system ya pale atupie humu.hawakunambia chochote zaidi ya neno interview tu sasa sijui ni aptitude au oral n.k.

kwni umeitwa possition gan mkuu nikusaidie.
 
We jiandae2 na hesabu za kutosha kama matrix,linear programming,probability,inventory n.k
 
Mtafute bwana mmoja yuko huko anaitwa Shaidi,huyo ukimpatia 1m,kazi unapata bila hata ya kufanya interview,wala kukaguliwa vyeti.
 
usiwe na kihelehele cha kukaa kwenye kiti kabla hujaambiwa ,kuwa mkweli, mstaarabu vyote hivi vitakuongezea credit
 
Huyo shaidi utampataje bila contact?halafu pale kuingia bandarini ni ishu!!
Mtafute bwana mmoja yuko huko anaitwa Shaidi,huyo ukimpatia 1m,kazi unapata bila hata ya kufanya interview,wala kukaguliwa vyeti.
 
hongera kwa kuitwa kwny intv, na mm niliomba post ya operation suppervisor vp na wenyeny washaitwa kwny intrv? vp ww walikupigia simu au waliku2mia email pls naomba nijuze.
 
wadau,
nimeitwa interview ticts.mwenye clue yoyote kuhusu interview system ya pale atupie humu.hawakunambia chochote zaidi ya neno interview tu sasa sijui ni aptitude au oral n.k.

Interview hiyo iko karibuni au bado mwanajamii mwenzangu?
Nijibu kwa private sms ili nijaribu kumtafuta huyu aiyetajwa hapo
asante
mama mbwambo
 
walinipigia simu.hawakutuma e mail.ni wiki hii ijumaa

Interview hiyo iko karibuni au bado mwanajamii mwenzangu? Nijibu kwa private sms ili nijaribu kumtafuta huyu aiyetajwa hapo asante mama mbwambo
 
Back
Top Bottom