Wadau hiv ni kwel kuna laana?

Wadau hiv ni kwel kuna laana?

Jackson matthew

Senior Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
156
Reaction score
343
Bibi yangu mzaa baba juzi aliwakalisha chini wajukuu zake.bibi aliwaeleza kuwa mtu atayetokeya akaoa mkenya atakuwa anapata watoto wanakufa. Tamko hilo la bibi amelitangaza rasm kama laana ameiacha.bibi alipoteza mwanawe wa kiume ambaye ndio mjomba wangu.

inasemakana kuwa aliuwawa na mwili wake kutupwa mton na kuliwa na mamba river mara.

kaka zangu ambao wanafanya kazi kenya wameambiwa wakidhubutu kuoa mkenya hamna rang hawataiona hapa dunian.

bibi anasema wasipooa watanzania wabaki mabechela.hiv wakuu haya maneno ya bb yanaweza yakawa ukwel wakiuka...???
 
Bibi yangu mzaa baba juzi aliwakalisha chini wajukuu zake.bibi aliwaeleza kuwa mtu atayetokeya akaoa mkenya atakuwa anapata watoto wanakufa. Tamko hilo la bibi amelitangaza rasm kama laana ameiacha.bibi alipoteza mwanawe wa kiume ambaye ndio mjomba wangu.

inasemakana kuwa aliuwawa na mwili wake kutupwa mton na kuliwa na mamba river mara.

kaka zangu ambao wanafanya kazi kenya wameambiwa wakidhubutu kuoa mkenya hamna rang hawataiona hapa dunian.

bibi anasema wasipooa watanzania wabaki mabechela.hiv wakuu haya maneno ya bb yanaweza yakawa ukwel wakiuka...???
Mwambieni huyo Bibi siku zake zinahesabika. Mtamsahau sasa hivi.
 
Hakuna laana ya nini unless otherwise ni agano ameweka na miungu yake kwani amefuatilia kujua huyo mwanae aliuwawa kwa sababu zipi?
 
Laana ilifaa aitoe Kwa watoto wake Kwa wajukuu haiwezi kuwa na nguvu sana therwise Kuna uchawi ndani yake
 
Nikajua bibi anaishi Mtwara, kumbe ana hadi watoto Kenya.
Hamna laana hapo ni vile anajaribu kuset mambo sawa ila ndo ivo anaona muda unamtupa mkono.
 
Bibi yangu mzaa baba juzi aliwakalisha chini wajukuu zake.bibi aliwaeleza kuwa mtu atayetokeya akaoa mkenya atakuwa anapata watoto wanakufa. Tamko hilo la bibi amelitangaza rasm kama laana ameiacha.bibi alipoteza mwanawe wa kiume ambaye ndio mjomba wangu.

inasemakana kuwa aliuwawa na mwili wake kutupwa mton na kuliwa na mamba river mara.

kaka zangu ambao wanafanya kazi kenya wameambiwa wakidhubutu kuoa mkenya hamna rang hawataiona hapa dunian.

bibi anasema wasipooa watanzania wabaki mabechela.hiv wakuu haya maneno ya bb yanaweza yakawa ukwel wakiuka...???
Sio kila mlango niwakuingia kama ameacha hayo maelekezo ni bora kuyafuata kuna shida hapo na miiko tayari unless waliofanya ilo jambo wakaombe msamaha ,Kenya Jaluo na mjaluo mwenzie,kikuyu na kikuyu bakini nyumbani
 
Back
Top Bottom