Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 218
- 297
Eti wanasema ukiagiza Phantom6 yenye ukubwa wa ROM 32GB,RAM 3GB,kamera mbili za nyuma zenye 13MP na 5MP,muonekano wa kuvutia pamoja na uwezo wake wa ajabu wa kuingiza chaji kwa haraka unapewa mizawadi kibao.
Bei ya kuagiza yaani Pre-Order ni 50,000/= (Elfu hamsini) Halafu baadaye unamalizia kiasi kitakachokuwa kimebaki, unapewa zawadi na simu yako.
Kilichonivutia zaidi ni kwamba na Mshkaji Alikiba atakuwepo na mtu anayeagiza hiyo Phantom6 yao anapiga nae picha.
Mi nimeona kwenye mtandao wao tu na wanasema hii itafanyika kuanzia saa 8 kamili mchana kwenye viwanja vya City Mall Posta Dar siku ya jumamosi ya tarehe 8 Oktoba 2016.
Bei ya kuagiza yaani Pre-Order ni 50,000/= (Elfu hamsini) Halafu baadaye unamalizia kiasi kitakachokuwa kimebaki, unapewa zawadi na simu yako.
Kilichonivutia zaidi ni kwamba na Mshkaji Alikiba atakuwepo na mtu anayeagiza hiyo Phantom6 yao anapiga nae picha.
Mi nimeona kwenye mtandao wao tu na wanasema hii itafanyika kuanzia saa 8 kamili mchana kwenye viwanja vya City Mall Posta Dar siku ya jumamosi ya tarehe 8 Oktoba 2016.