Usijali mpenzi wangu, ipo kama ulivyoiacha, nimekutunzia kabisa.
Na sie tunaotongozwa na madomo zege kwa njia ya msg? Mbona tunasoma kwa macho? Teh teh teh
Usijali mpenzi wangu, ipo kama ulivyoiacha, nimekutunzia kabisa.
Nakuaminii wewe tu sitasikia la mwengine nakumbuka nilivoicha ha ha ha
Kho kho khooo.
A man can fall in love through his eyes while a woman through her ears!
Tukusaidieje hem jieleze
We mtoto nitakutoa busha la kwenye macho!!
Hahahaaa basi mwenyew hasikii wala haoniii
A man can fall in love through his eyes while a woman through her ears!
Wanawake tunaweza kufall in love kwenye kwa kutazama account ya mtu ya pesa hahahahaaaaaa